MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Hii kesi imejaa utata mtupu,, keso moja inakuwaje wengine wafungwe na wengine watoke
Yaani!
Hivi kwa wale walioachiwa kwa kuwa ushahidi umeonyesha kuwa hawana makosa, je hakuna wanalowezakufanya kama kudai fidia kwa kuwekwa ndani kwa muda wote huo wakati hawana makosa? Najaribu tu kufikiria the loss walioipata muda wote waliokuwa ndani? mfano yule Francis si alikuwa anasoma au? maana nakumbuka wakati anafungwa he was only 17 yrs kama sikosei