Babu Seya, Papii Kocha wafungwa maisha - Soma hukumu

The rest of the child witnesses are not any different. The voire dire, if any was conducted in the same style. This is what the courts have repeatedly held to be improper and to equate it with no voire dire at all. The reason for this is not far to get. The conclusions of the trial magistrate recorded after a voire dire examination may be challenged with success. This is what happened in the Bandoma case. In that case (supra) their Lordships made reference to the case of Hemed v &J19871 TLR117 where the opinion of the judge was successfully challenged in the Court of Appeal of Tanzania ....
 
Mheshimiwa raisi hajavunja sheria yoyte. Uwezo wake wa kusamehe wafungwa ni absolute. Hauna kizuizi chochote kwa kosa lolote.
DQmW7VZXcAA91ua.jpg
 
Uchungu wa mwana aujuaye mzazi..sipati picha namna wazazi wa wale watoto walivyo jisikia hiyo jana
 
Uchungu wa mwana aujuaye mzazi..sipati picha namna wazazi wa wale watoto walivyo jisikia hiyo jana
Wazazi wa watoto wanaujua ukweli na hawana wasiwasi na msamaha huo, kwa kuwa walizibwa midomo na kupandikizwa "ndiyo ya mtutu" midomoni mwao.
Husda na chuki vilifanya viwezavyo kutokana na utamaduni wa "mwenye nacho" kutoguswa na ama kuweza kufanya lolote la dunia, bali kifo pekee tu ndo kiliwashinda kulibatilisha.
"Utamaduni" huu ulikuwa umetamalaki sana nchini mwetu. Tushukuru Mungu katushushia heri kipindi hiki.
Tatizo lililopo hata sasa ni " utamaduni masalia" kwamba wote wanaokandamizwa kinyanyasaji, mfano wa dr Ulimboka na wengineo waliokwishapata madhila yenye kufanana, wakisalimika huwa hawasemi chochote cha maana warejeapo uraiani.
Hupewa viapo vya damu kutosema lolote. Watakapo kuongea huishia kutamka "Zimbabwe" na "missunderstading" zingine za ajabuajabu zenye kuendeleza maswali yaleyale yasiyokuwa na majibu vichwani mwa jamii.
Kwa hili la Bob Seya family, hautasikia lawama yoyote kutoka kwa yeyote kwa kuwa "saga" zima liliandaliwa "theater" kwa ajili ya show.
 
Mahakama zipo huru?
Mahakama ziko huru kabsa..at least kwa sura ya nje.

Lakin linapokuja swala la msamaha wa wafungwa....katiba inampa raisi mamlaka yasiyokuwa na ukomo. Yaan anaweza kumsamehe yeyote kosa lolote wakati wowote kwa masharti au bila masharti yoyote. Rejea katiba ya JMWT ibara ya 45(1)na (2) na fafanuzi zake.

Kwa maneno mengine....katika swala la wafungwa...raisi ni kama Mungu....anaweza kuwasamehe kwa jinsi anavoona yeye raisi ama kwa kushauriwa au bila kushauriwa.

Lakin ieleweke wazi kuwasamehe wafungwa haimaanishi hawakufanya makosa waliyotiwa nayo jela. Ni msamaha kama ilivo misamaha mingine ya kijamii.
 
Mahakama ziko huru kabsa..at least kwa sura ya nje.

Lakin linapokuja swala la msamaha wa wafungwa....katiba inampa raisi mamlaka yasiyokuwa na ukomo. Yaan anaweza kumsamehe yeyote kosa lolote wakati wowote kwa masharti au bila masharti yoyote. Rejea katiba ya JMWT ibara ya 45(1)na (2) na fafanuzi zake.

Kwa maneno mengine....katika swala la wafungwa...raisi ni kama Mungu....anaweza kuwasamehe kwa jinsi anavoona yeye raisi ama kwa kushauriwa au bila kushauriwa.

Lakin ieleweke wazi kuwasamehe wafungwa haimaanishi hawakufanya makosa waliyotiwa nayo jela. Ni msamaha kama ilivo misamaha mingine ya kijamii.
News Alert: - Kama ningekuwa na uwezo hii kesi ingechunguzwa ili ijulikane kama babu seya alionewa au alistahili kufungwa.
 
Friends of Lowasa na Chadema wamepata pigo sana..kete yao ya mwisho ya kufanyia kampeni 2020 nayo imepokwa..hapo Bado mtu wa Nairobi hospital hajaongea
Acha upumbafu! Kama rais anatekeleza ilani ya upinzani kuna shida gani? Bado mashehe wa uamsho mkumbushe na hilo nyambafuu!
 
Kama hoja ni kufungua uchunguzi...hila nadhan ukiwakilisha ombi kwa tume ya haki za binadamu na utawala bora huenda wakawa na la kufanya.

Maoni yangu yamenijikita kwenye mamlaka ya raisi kusamehe au kutosamehe mfungwa.
nipe kifungu cha sheria
 
Back
Top Bottom