kweli kabisa wangeachiwa ingetukanwa serikali kuwa kwanini watoto wamebakwa na ushahidi upo serikali imewaachia.hawana wema binadamu.JF inanipa raha sana "Zombe" hushahidi haukutosha mahakama imemwachia watu wakapiga kelele angetakiwa kufungwa "Babu seya" ushahidi umetosha kafungwa watu wanapiga kelele angeachiwa!! Sijui lipi ni lipi watu tunaendeshwa kwa hisia au?