Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,538
- 3,826
Picha???
Angalia Mwanzo IpoPicha???
Alifariki zamani sana nahisi kwa msongo wa baada ya mume na wanae kuhukumiwa kifungo. Inasikitisha kwa sababu hawakuweza kuhudhuria mazishi yakeMama yao na kina Papii Kocha yupo wapi?
We hujui kuliko sie tuliokuwa tunamkuta Silent inn na Igongwe disco toto!Hujui unalolisema we mbwa.
Hii kesi ndiyo inanifanya mpaka leo namuona JK ni mnafiki na mzandiki. Wewe mpori mpori hujui kitu kaa kimya. Sisi watoto wa mjini tunajua A-Z. Enzi inawezekana ulikua kwenu Nachingwea nyau weeee
Mkuu, inamaana Babu Seya alikua anakata nyavu kwenda KUGEGEDA WATOTO? Au?We hujui kuliko sie tuliokuwa tunamkuta Silent inn na Igongwe disco toto!
Hem mambo mengine na yapite tu!
Nyavu zimekatwa sana shule ya Mugabe , heb mimi!
MXXXXXXIE
Hapana unachanganyaAlifariki zamani sana nahisi kwa msongo wa baada ya mume na wanae kuhukumiwa kifungo. Inasikitisha kwa sababu hawakuweza kuhudhuria mazishi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nimefarijika kuona kwamba kuna muda huwa unakuwa timamu, mambo vipi lakini ? siku hizi toka msiba utokee hauonekani humu ndani ? au upo chattle unangoja siku ya 40 masihi wenu afufuke 😂 (utani tu huo)Kwani kuoa lazima wafanye ngono? We vipi
Hujui unalolisema we mbwa.
Hii kesi ndiyo inanifanya mpaka leo namuona JK ni mnafiki na mzandiki. Wewe mpori mpori hujui kitu kaa kimya. Sisi watoto wa mjini tunajua A-Z. Enzi inawezekana ulikua kwenu Nachingwea nyau weeee
Alirudi kufanya nini? Kurekodi wimbo au kumalizia kifungo?Mshikaji si nasikia alirudi gerezani tena
Alifungwa tena. Mahakama ilibatilisha hati yake ya mashtaka. Wewe hukusikia DPP ali-revoke msamaha baada ya Magu kufa, 2021.Alirudi kufanya nini? Kurekodi wimbo au kumalizia kifungo?
Alifungwa tena. Mahakama ilibatilisha hati yake ya mashtaka. Wewe hukusikia DPP ali-revoke msamaha baada ya Magu kufa, 2021.
Hii sio kweli mkuu, utakuwa umepewa story na wanywa kahawa wa chini ya muembe. Ndo yale yale ya kumuhusisha JK na kesi yao, na wakati babu Seya alifungwa na utawala wa Mkapa.Alifungwa tena. Mahakama ilibatilisha hati yake ya mashtaka. Wewe hukusikia DPP ali-revoke msamaha baada ya Magu kufa, 2021.
Hakuna kitu kama hichoAlifungwa tena. Mahakama ilibatilisha hati yake ya mashtaka. Wewe hukusikia DPP ali-revoke msamaha baada ya Magu kufa, 2021.
Vaa vizuri mpenzi wangu, upendezeView attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja
=====
Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
Alifungwa chini ya utawala wa KikweteHii sio kweli mkuu, utakuwa umepewa story na wanywa kahawa wa chini ya muembe. Ndo yale yale ya kumuhusisha JK na kesi yao, na wakati babu Seya alifungwa na utawala wa Mkapa.
Jamaa kaja mjini enzi za diamondAlifungwa chini ya utawala wa Kikwete
Hakuna kitu Kama hicho.Alifungwa tena. Mahakama ilibatilisha hati yake ya mashtaka. Wewe hukusikia DPP ali-revoke msamaha baada ya Magu kufa, 2021.