Babu loliondo na stone age period!!!!!

sasa kama hizo za kisasa zimeshindwa?inakuaje hapo?

Hazijashindwa ila sisi wenyewe wagonjwa ndio tunasababisha dawa zisifanye kazi! Mfano mgonjwa wa Kisukari anapewa dawa na kuambiwa afanye mazoezi ya mara kwa mara na kupunguza kula vitu vitamu badala yake anakula dawa halafu anakula ugali na nyama choma sufuria nzima, huku akiteremshia kwa COCA COLA na jioni bia mpaka alewe unafikiri atapona? au mwingine anapakia Pilau iliyokaangwa na nyama ya mbuzi huku akinywa chai iliyojaa sukari baada ya hapo anachoka kwa viungo vya pilau na kukimbilia kitandani na kuuchapa usingizi unategemea hiyo dawa ya Kisukari kufanya kazi!!!

Hakuna njia ya mkato ili upone au kupunguza makali ya maradhi hatuna budi kufuata masharti ya dawa au tutegemee Mtu mwingine ajitokeze na kugawa dawa ya kuwa Tajiri!!!!!
 
Ikiwa Leo tuko karne ya 21 ya Teknologia na maendeleo ya kiwango cha juu ktk nyanja mbali mbali kama vile tiba kulinganisha na karne zilizopita, nimasikitiko na majonzi makubwa kwa baadhi ya Watanzania wenzetu hasa hao wanaojiita Viongozi wa Dini kutaka kuturudisha Enzi za Mawe au enzi za falsafa za Vita vya MajiMaji!!!! kwa kutuletea Tiba zinazotokana na Ndoto au Maono toka Mbinguni!!!!

La kusikitisha zaidi Serikali yetu inapokubali shingo upande huduma kama hiyo iendelee kutolewa huku ikijulikana wazi kabisa ubora wa dawa hiyo ni wa hali ya chini na inayotolewa ktk mazingira machafu kabisa ya kutumia kikombe alichotumia mgonjwa mwingine!! Nchi hii ina Madaktari bingwa waliobobea ktk fani zao, Waganga na Wataalamu mbali mbali wenye Ma PHD, Digrii sasa iweje Mchungaji mmoja tu ajitokeze na kudai kaoteshwa na Mungu mwaka 1991!! halafu tiba yake anakuja ianza mwaka 2011?????

Tumeshuhudia wagonjwa wengi kupoteza maisha baada ya kunywa dawa hiyo na wengine wataendelea kufa huku Serikali ikishindwa kuchukua hatua muafaka kwa kuhofia shinikizo toka kwa baadhi ya watu wanaofaidika na mradi huo uliobuniwa na baadhi ya Vigogo wenye maslahi yao!!!

Kama Serikali itakubali huduma hii PRIMITIVE iendelee kutolewa na huyu Mchungaji basi tukubali kuwa nchi yetu imeamua kurudi ktk Enzi za STONE AGE na Elimu ya Tiba za kisasa zenye kutegemea LABORATORY EQUIPMENTS zitakuwa hazina faida tena na kutakuwa hakuna haja ya kuwaelimisha Watoto wetu Elimu ya Tiba za Kisasa na badala yake tuwe wategemezi wa NDOTO ZA USIKU TOKA MBINGUNI!!!!!!!!!

Wakati umefika sasa SERIKALI iamke na kuchukua hatua za haraka kuzuia hekaya hizi za kizamani za kutegemea Ndoto au tabiri za Wachungaji, Mashehe au Waganga wa Kienyeji kwani sasa wanakotupeleka kuna giza kuu!!!!

When it becomes more difficult to suffer than change -- then you will change :embarassed2:
 
Hazijashindwa ila sisi wenyewe wagonjwa ndio tunasababisha dawa zisifanye kazi! Mfano mgonjwa wa Kisukari anapewa dawa na kuambiwa afanye mazoezi ya mara kwa mara na kupunguza kula vitu vitamu badala yake anakula dawa halafu anakula ugali na nyama choma sufuria nzima, huku akiteremshia kwa COCA COLA na jioni bia mpaka alewe unafikiri atapona? au mwingine anapakia Pilau iliyokaangwa na nyama ya mbuzi huku akinywa chai iliyojaa sukari baada ya hapo anachoka kwa viungo vya pilau na kukimbilia kitandani na kuuchapa usingizi unategemea hiyo dawa ya Kisukari kufanya kazi!!!

Hakuna njia ya mkato ili upone au kupunguza makali ya maradhi hatuna budi kufuata masharti ya dawa au tutegemee Mtu mwingine ajitokeze na kugawa dawa ya kuwa Tajiri!!!!!

We binti unadhan ni madhara gani makubwa yatakayompata mtu kwa kunywa hii dawa na akapona kisukari,presha,kensa na mengineyo zaidi ya yale madhara aliekuwa nayo akiwa mgonjwa?
[/B Jenga picha we unaugua kisukari na umetumia dawa za hospital kwa miaka 10 bila kupona ni unapunguza tu kasi ya ugonjwa then ukapata habari ya uwepo mtu anaeweza kukutibu maradhi yapo hayo yanayokutesa na ukapona,we ungefanyaje?
Omba mungu sana aendelee kukupa hiyo afya njema ulionayo ili uwendelee kuita tiba ya babu ni uprimitive .
 
Hakuna madhara kujaribu tiba mbadala...mgonjwa anachotaka ni kupona na kuepuka tabu na mateso anayopata na wanayopata wanaomuuguza bila kujali anaetoa ni kwa nguvu za mungu ama dini..matokeo ndio muhimu
 
Zubeda mdogo wangu, we shukuru mungu hujaugua. Utakula hata nyama ya nungunungu..!
 
Ikiwa Leo tuko karne ya 21 ya Teknologia na maendeleo ya kiwango cha juu ktk nyanja mbali mbali kama vile tiba kulinganisha na karne zilizopita, nimasikitiko na majonzi makubwa kwa baadhi ya Watanzania wenzetu hasa hao wanaojiita Viongozi wa Dini kutaka kuturudisha Enzi za Mawe au enzi za falsafa za Vita vya MajiMaji!!!! kwa kutuletea Tiba zinazotokana na Ndoto au Maono toka Mbinguni!!!!

La kusikitisha zaidi Serikali yetu inapokubali shingo upande huduma kama hiyo iendelee kutolewa huku ikijulikana wazi kabisa ubora wa dawa hiyo ni wa hali ya chini na inayotolewa ktk mazingira machafu kabisa ya kutumia kikombe alichotumia mgonjwa mwingine!! Nchi hii ina Madaktari bingwa waliobobea ktk fani zao, Waganga na Wataalamu mbali mbali wenye Ma PHD, Digrii sasa iweje Mchungaji mmoja tu ajitokeze na kudai kaoteshwa na Mungu mwaka 1991!! halafu tiba yake anakuja ianza mwaka 2011?????

Tumeshuhudia wagonjwa wengi kupoteza maisha baada ya kunywa dawa hiyo na wengine wataendelea kufa huku Serikali ikishindwa kuchukua hatua muafaka kwa kuhofia shinikizo toka kwa baadhi ya watu wanaofaidika na mradi huo uliobuniwa na baadhi ya Vigogo wenye maslahi yao!!!

Kama Serikali itakubali huduma hii PRIMITIVE iendelee kutolewa na huyu Mchungaji basi tukubali kuwa nchi yetu imeamua kurudi ktk Enzi za STONE AGE na Elimu ya Tiba za kisasa zenye kutegemea LABORATORY EQUIPMENTS zitakuwa hazina faida tena na kutakuwa hakuna haja ya kuwaelimisha Watoto wetu Elimu ya Tiba za Kisasa na badala yake tuwe wategemezi wa NDOTO ZA USIKU TOKA MBINGUNI!!!!!!!!!

Wakati umefika sasa SERIKALI iamke na kuchukua hatua za haraka kuzuia hekaya hizi za kizamani za kutegemea Ndoto au tabiri za Wachungaji, Mashehe au Waganga wa Kienyeji kwani sasa wanakotupeleka kuna giza kuu!!!!
Hydrocephalous you!!
 
Ikiwa Leo tuko karne ya 21 ya Teknologia na maendeleo ya kiwango cha juu ktk nyanja mbali mbali kama vile tiba kulinganisha na karne zilizopita, nimasikitiko na majonzi makubwa kwa baadhi ya Watanzania wenzetu hasa hao wanaojiita Viongozi wa Dini kutaka kuturudisha Enzi za Mawe au enzi za falsafa za Vita vya MajiMaji!!!! kwa kutuletea Tiba zinazotokana na Ndoto au Maono toka Mbinguni!!!!

La kusikitisha zaidi Serikali yetu inapokubali shingo upande huduma kama hiyo iendelee kutolewa huku ikijulikana wazi kabisa ubora wa dawa hiyo ni wa hali ya chini na inayotolewa ktk mazingira machafu kabisa ya kutumia kikombe alichotumia mgonjwa mwingine!! Nchi hii ina Madaktari bingwa waliobobea ktk fani zao, Waganga na Wataalamu mbali mbali wenye Ma PHD, Digrii sasa iweje Mchungaji mmoja tu ajitokeze na kudai kaoteshwa na Mungu mwaka 1991!! halafu tiba yake anakuja ianza mwaka 2011?????

Tumeshuhudia wagonjwa wengi kupoteza maisha baada ya kunywa dawa hiyo na wengine wataendelea kufa huku Serikali ikishindwa kuchukua hatua muafaka kwa kuhofia shinikizo toka kwa baadhi ya watu wanaofaidika na mradi huo uliobuniwa na baadhi ya Vigogo wenye maslahi yao!!!

Kama Serikali itakubali huduma hii PRIMITIVE iendelee kutolewa na huyu Mchungaji basi tukubali kuwa nchi yetu imeamua kurudi ktk Enzi za STONE AGE na Elimu ya Tiba za kisasa zenye kutegemea LABORATORY EQUIPMENTS zitakuwa hazina faida tena na kutakuwa hakuna haja ya kuwaelimisha Watoto wetu Elimu ya Tiba za Kisasa na badala yake tuwe wategemezi wa NDOTO ZA USIKU TOKA MBINGUNI!!!!!!!!!

Wakati umefika sasa SERIKALI iamke na kuchukua hatua za haraka kuzuia hekaya hizi za kizamani za kutegemea Ndoto au tabiri za Wachungaji, Mashehe au Waganga wa Kienyeji kwani sasa wanakotupeleka kuna giza kuu!!!!

zubeda, hakuma alolazimishwa kwenda kule. nishida na magonjwa yenu hayatibiki kwa dawa unazoziamini wewe. usipende pia kuwasemea watu. punguza mawazo ya kikoloni kichwani mwako na kuamini vya wazungu na si vya kwetu.
 
zubeda, hakuma alolazimishwa kwenda kule. nishida na magonjwa yenu hayatibiki kwa dawa unazoziamini wewe. usipende pia kuwasemea watu. punguza mawazo ya kikoloni kichwani mwako na kuamini vya wazungu na si vya kwetu.

Hapa hatuzungumzii vya Uzungu bali dawa zilizopitia ktk maabara na kufanyiwa utafiti!
wewe umeona wapi mtoto mchanga anakunywa dozi sawa na mtu mzima? haya yanafanyika Loliondo!
 
ukitaka kuonekana unahekima basi andika vitu vyenye hekma.ulishawahi kukutana na watu wanaosumbuka na magonjwa ww?cancer za utumbo,za koo za damu au presha?kama ww huna ndugu mwenye matatizo hayo unyamaze yasijekupata maana wengine yamewapata kazini au adhari za dawa,sindano.kusema ni result ya kula ovyo unapotea ndugu yangu.JF is the home of great minds.mbona wakienda kwa waganga wakipewa tunguri hamuongei?au ndo shetani anawatumia kuipinga kazi ya MUNGU?
 
Back
Top Bottom