Katika hali isiyo ya kawaida kitendo hiki cha kupokea tsh 500 na kusababisha mzunguko wa pesa hiyo kupungua kwani hapeleki bank na amekua akiziweka basi je nini kifanyike
Wewe umeziona za Babu tu?
Na bado ukaendelea kupoteza muda wako kwa kuandika hii postWatu wengine bwana...Yani nimepoteza muda kufungu hii thread nikadhani kuna la maana kumbe tope tupu.......................sasa wewe unaitaka mia tano ya nini? kama una elfu 1 na kuendelea si unaweza kununua bidhaa au huduma zinazouzwa kwa shs mia tano.