Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,193
Unadhani hata tunapenda....huwa tunashangaa kuambiwa unaniumiza. Ukiona unachoambiwa unamuumiza hata kilikuwa hakipo akilini..Haijatulia sema nitafanyaje sasa.. Mnajua sana kutuumiza nyie viumbe
-Usiku mwema
-umeamkaje.
At the end of the day, naamini nature inamua lipi litokee wapi na vipi licha ya juhudi za wote kutaka kuweka hali sawa.
Unaweza kuamua kuwa na Mzigua90 ila kama nature haijakubali basi haijakubali.



