Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
haya wadau I hope raia wa Babati hawakosekani humu, kesho natia maguu huko, please nipokeeni, nipeni information kama nitarajie nini huko, (ndo nitafika kwa mara ya kwanza) wapi nijirushe baada ya majukumu, misosi gani mnapiga huko, bila kusahau yale mambo yetu yale lol.
CHRONOLOGICAL UPDATES:
11:08:
Morogoro.
14:47:
Dodoma
20:00
Nimefika Manyara.
CHRONOLOGICAL UPDATES:
11:08:
Morogoro.
14:47:
Dodoma
20:00
Nimefika Manyara.