HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
Kazi kubwa ya diwani/mbunge ni kuwasemea wananchi wao matatizo yanayosibu ili kupata ufumbuzi kwa maendeleo ya watu wake hayo mengine i.e:kutunga sheria,kupangua hoja,kujadili miswada ni ziada tu na ujanjaujanja ili kuwaibia watu kwani hata madiwani wanatunga sheria ndogondogo bwana?
Hili litiliwe mkazo kwa sasa diwani/mbunge asiyewasemea watu wake piga chini awamu ijayo bila kujali usomi/elimu yake wakale elimu zao sasa!!
Hili litiliwe mkazo kwa sasa diwani/mbunge asiyewasemea watu wake piga chini awamu ijayo bila kujali usomi/elimu yake wakale elimu zao sasa!!