sassy girl
Senior Member
- Sep 19, 2020
- 112
- 172
Habari madoctor na waganga wauguzi wa JF
Mwenzenu nimeamka na taarifa sio nzuri kiupande wangu baba yangu ameparalyse upande mmoja na hawezi kuongea miezi mitatu nyuma alifiwa na dada yake wa pekee alipohudhuria msiba baada ya kuzika siku ya tatu yake akawa anauliza majirani hapa nini kinaendelea mbona watu wamejaa..!? ilibidi wamshangae wachache wakamuelewesha kinachoendelea baada ya wiki kuisha ilibidi arudi kwake
Wakati anasubiriwa asindikizwe stand akauliza tena swali lile lile huku akitaka kujua ile mizigo ya nani na inaenda wapi (mizigo yake alipatiwa kijijini arudi nayo mjini kama zawadi) Ndipo watu wakapata mashaka wakampeleka hospital ikabainika kuwa amepatwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu akapewa vidonge atumie na maelezo akifika dar aende hospital
Alipofika Dar akaenda hospital wakasema apatiwe vipimo ,vikabainika moyo umestuka wakampatia dawa na wakasema hzo dawa zitamsaidia na akiendelea nazo basi Tatizo Lake litaisha ,akawa anaendelea vizur alirud hali yake ya kawaida ,
Leo asubuhi amepatwa na strock mguu,mkono na kuongea haongei kiukweli nimelia na kutumia sana naandika huku moyo wangu unaumia Naombeni kujua hv mgonjwa wa kupalalyse anaweza kupona? Au tumfanyaje naombeni ushauri babangu anamiaka 55 , naombeni mnitie hata moyo
Mwenzenu nimeamka na taarifa sio nzuri kiupande wangu baba yangu ameparalyse upande mmoja na hawezi kuongea miezi mitatu nyuma alifiwa na dada yake wa pekee alipohudhuria msiba baada ya kuzika siku ya tatu yake akawa anauliza majirani hapa nini kinaendelea mbona watu wamejaa..!? ilibidi wamshangae wachache wakamuelewesha kinachoendelea baada ya wiki kuisha ilibidi arudi kwake
Wakati anasubiriwa asindikizwe stand akauliza tena swali lile lile huku akitaka kujua ile mizigo ya nani na inaenda wapi (mizigo yake alipatiwa kijijini arudi nayo mjini kama zawadi) Ndipo watu wakapata mashaka wakampeleka hospital ikabainika kuwa amepatwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu akapewa vidonge atumie na maelezo akifika dar aende hospital
Alipofika Dar akaenda hospital wakasema apatiwe vipimo ,vikabainika moyo umestuka wakampatia dawa na wakasema hzo dawa zitamsaidia na akiendelea nazo basi Tatizo Lake litaisha ,akawa anaendelea vizur alirud hali yake ya kawaida ,
Leo asubuhi amepatwa na strock mguu,mkono na kuongea haongei kiukweli nimelia na kutumia sana naandika huku moyo wangu unaumia Naombeni kujua hv mgonjwa wa kupalalyse anaweza kupona? Au tumfanyaje naombeni ushauri babangu anamiaka 55 , naombeni mnitie hata moyo