Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,900
- 28,015
Pole sana dada Joyce Kiria...Ni mapito hayo..
Mungu amsamehe baba yetu zambi zake zote, na kama zilikuwepo ziende kwa mwigulu mwana kulaaniwa huyu.
.........mtoto wa nyoka ni nyoka..kafa Joka kuu..1. Unamuita malaya alishawahi kukuuzia? Manake it takes one to know one!
2. Whatever happened to 'innocent until proved guilty? Ama unahukumu ki-ccm kwa tamko?
3. Marehemu kuenda kwake jehanam kunahusikaje na dhambi (kama ipo) ya mkwewe?
Hekima na ustaarabu ungeuzwa dukani tungekukopea. Itikadi imekulewesha utu wako ukatoweka.
...dhu uko ...10% kufikia ukombozi jitahidi kupiga hatua tisini kutoka huko.....
.........mtoto wa nyoka ni nyoka..kafa Joka kuu..
Mungu amlaze pema peponi lakini kilewo ahukumiwe miaka mingi kwa unyama wake wa kumwagia watu tindikali
Malipo hapahapa duniani. hayo ni malipo ya aliyemwagiwa tindikali na bado.
....shikamoo..ndo matatizo ya kununuliwa hayo..
Shetani......
awaandalie makazi YA MOTO WA MILELE... huko Jehanam WOTE wasioitakia Mema CHADEMA.........
wote tuseme AMINA....
.........mtoto wa nyoka ni nyoka..kafa Joka kuu..