masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 869
Kila kitu kina mwanzo na mwisho,na dunia ni mapito,pia hakuna barabara isiyokuwa na kona,na kifo chako wewe ndiyo mwisho wako wa dunia kwani dunia haina mwisho ila binadamu tuna mwanzo na mwisho......kikubwa ni kukubaliana na kila linatokea ndani ya kipindi hiki kigumu kwa bi joyce kiria haya ni zaidi ya mateso kwake na mungu alivyo na makusudi leo anakuliza na kesho anakuchekesha kwa njia zake mwenye anazozijua,tufarijiane na tupeane moyo tunapokumbwa na matatizo kwani haya machungu na matamu tumeumbiwa mimi na ww na sio kunatoleana maneno ya kashifa na dharau kwa marehemu wetu kwani hata kifo ni jirani tunaetembea nae mda wote na mara nyingi anatutunzia siri na kutuvumilia kwa mengi ila tusivyokuwa na haya tuna mdhihaki kwa matusi yetu ya ucdm or uccm..
Pole sana da joy na mungu akutie nguvu zaidi ili umalize msiba wa mzee kwa amani kisha urejee kwenye maombi yakumpigania hubby wako bwana henry kilewo...rip mzee kiria
Pole sana da joy na mungu akutie nguvu zaidi ili umalize msiba wa mzee kwa amani kisha urejee kwenye maombi yakumpigania hubby wako bwana henry kilewo...rip mzee kiria