Baba wa Taifa akila mwili wa kristo.

Baba wa Taifa akila mwili wa kristo.

Status
Not open for further replies.
Huyu ni mwanadamu, hulka ya mwanadamu yeyote kuwa na mawazo yake, uelewa wake na maamuzi yake.

Hili linathibitishwa na uwepo wa

1. madhehebu mengi ya imani kwa wakristo, mitazamo na maono tofauti tofauti kulingana na uelewa wao

2. madhehebu mengi ya imani za waislam, mitazamo na maono tofauti kulingana na uelewa wao.

Huyu hawezi kuwa msemaji wa wakristo wote wa Roman catholic unless utueleze huyu ni Papa. Nikichaa tu aliyetowa maelezo yake kama ilivyo kwa vichaa wengi Duniani wanaoufanya uislam uonekane dini ya vurugu

Boko haramu wauwaji na watesaji wa binadamu wasionamakosa tena wadini zote

Alshabab, ISI nk wote watakueleza wanapigania Uislam lakin siamini hivyo nadhani niwahuni ambao kimtazamo kama

huyu unayemtetea hapa wanahulka na matatizo yao ya kiakili.

Bimkubwa FaizaFoxy si vema kuchafua jukwaa makusudi ukijenga hoja kuchafua imani za watu

nakuzuwa mijadala isiyonatija.

Jibu:


quote_icon.png
By FaizaFoxy

Jamani kula mwili wa mtu si "cannibalism" hiyo?

Nijuavyo ni wachawi ndio wanakula mwili na damu ya mtu.
 
Ukiona umemuuliza mtu swali akaja na matusi badala ya jibu, ujuwe ukweli umemuingia na hana jibu.
 
Naam alipowaita kuwa nyinyi ni mbwa na nguruwe, ulimuelewa? au tukupe darsa?

Mohammed alipowaita watu weusi wenye nywele za curl kuwa ni mashetani, ulimuelewa au tukupe darsa?
 
Jibu:


quote_icon.png
By FaizaFoxy

Jamani kula mwili wa mtu si "cannibalism" hiyo?


Nijuavyo ni wachawi ndio wanakula mwili na damu ya mtu.

Bimkubwa FaizaFoxy

a)
1. Wewe ni mchawi?

2. Thibitisha jinsi wachawi wanavokula nyama za watu.


b)
Unachofanya ni uchafu maana huwezi kuprovu mambo ya imani.

Imani ya mtu itabakia kuwa nadharia ya akilini na phyisiacally huwezi iprove

Imani ya mtu ipo rohoni. haikamatiki

1. Watu wanaamini kunapepo/kuzim kunaprovu yoyote katika hilo?

2. Watu tunaamini shetani anaexist, nani amemuona umeona popote?

3. Baadhi yetu tunaamini kuna mbingu, chaajabu ukipaa na ndege chini napo panaonekana mbingu!

4. Tunaamini mtu mwema akifa anakwenda mbinguni/peponi nani kati yetu amefika nakuina pepo walau utupe picha ya majengo ya pepo ilivyo.

5. watu wanaamini wakienda kuhiji makha au kwa wayahudi wanapata barka nani anauhakika na kipimo cha hiyo barka

Imani ya wakatoriki inabakia katika mioyo yao na wajingawajinga, wanafiki na wachafuzi wanabaki kati uzushi maana imani ya mtu haionekani wala kukamatika.
 
hahaha!, na mimi naongezea,papuchi yake inatoa harufu mbaya kama ya mke wa kwanza wa mtume muhamad.
CC FaizaFoxy
kua na uvumilivu.hayo maneno ya kuhusisha tendo la kula nyama ya yesu na canibal yako katika site za wakristo wenzako.ff amekopy tu
 
Last edited by a moderator:
Ukiona umemuuliza mtu swali akaja na matusi badala ya jibu, ujuwe ukweli umemuingia na hana jibu.

Huwezi kuficha mahaba uliyonayo kwa Nyerere? Yaani ukisikia jina lake panakuwasha.
 
Ukiona umemuuliza mtu swali akaja na matusi badala ya jibu, ujuwe ukweli umemuingia na hana jibu.


Unapata matusi kwasababu swali lako nimaudhi, Lini imani ya mtu tena ipo rohoni ukaihoji?

1. unataka watu waanze kuhoji kwanini wanapiga alama ya msalaba - Imani

2. Unataka kuhoji kwanini watu watazame kibra tuu ilhani tunasema popote pema mungu yupo - Imani

3. Unataka kuhoji kwanini Yesu aitwe Yesu nasio John au Mohammad aitwe Mohammadi nasio Hamisi? - Imani

4. Unataka kuhoji kwanini watu wachinje ihali hata ukimpiga kuku na teke atakufa na nyama utakula bila shida? - Imani

5. Unataka kuhoji kwanini Papa anatembea na jifimbo tena zito popote aendapo? - Imani

Imani ya mtu haihojiwi hasa anapokuwa haathiri imani na existance ya watu wengine. Tuheshim imani zetu na kwa maana

hiyo hutapatwa na matusi
.
 
Hili la utakatifu lataka uchambuzi yakinifu,,, kwanza ile video ambayo ili postiwa humu na Mzizi Mkavu inataka majibu adhimu kabla hatujamuita mtakatifu
 
Hili la utakatifu lataka uchambuzi yakinifu,,, kwanza ile video ambayo ili postiwa humu na Mzizi Mkavu inataka majibu adhimu kabla hatujamuita mtakatifu


Yakwao kanisani waachie wenyewe, kama nawewe nimuumini peleka malalamiko yako Jimbokuu.

Kama simuumini yanini kujiumiza nakuhoji Yasiyo ya Imani yako. Tutumie jukwaa vema.
 
Wakristo tusichukizwe na hili, ukristo umejengwa katika misingi ya upendo na kutolipiza kisasi, ukristo haupendi fujo tofauti na wenzetu, ukristo umejengwa katika misingi ya kuheshimiana pasipokujali imani ya mwenzako. Watu kama hawa tuwajibu kwa upendo, yeye atarajie kujibiwa vibaya lakini tumjibu kwa upendo, huo ndo ukristo. Tutumie fursa hii kuelimisha juu ya tukio hili kuwa ni maagizo ya Yesu siku akila kalamu yake ya mwisho, alichukua mkate akaumega akawapa wafuasi wake akisema huu ndo mwili wangu fanyeni hivi kwa kunikumbuka, akatwaa kikombe akasema hii ndo damu yangu ilomwagika kwa ajili yenu fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.

Mkuu busara zako zimedhihirisha ukristo ni nini.
 
Unapata matusi kwasababu swali lako nimaudhi, Lini imani ya mtu tena ipo rohoni ukaihoji?

1. unataka watu waanze kuhoji kwanini wanapiga alama ya msalaba - Imani

2. Unataka kuhoji kwanini watu watazame kibra tuu ilhani tunasema popote pema mungu yupo - Imani

3. Unataka kuhoji kwanini Yesu aitwe Yesu nasio John au Mohammad aitwe Mohammadi nasio Hamisi? - Imani

4. Unataka kuhoji kwanini watu wachinje ihali hata ukimpiga kuku na teke atakufa na nyama utakula bila shida? - Imani

5. Unataka kuhoji kwanini Papa anatembea na jifimbo tena zito popote aendapo? - Imani

Imani ya mtu haihojiwi hasa anapokuwa haathiri imani na existance ya watu wengine. Tuheshim imani zetu na kwa maana

hiyo hutapatwa na matusi
.

Hayo yote uliyobwabwaja hayajajibu swali langu.

Kula mwili wa mtu ni imani za kichawi na kishirikina.
 
Tukale mkate wa uzima na damu ya uzima, ya uzima. Kwe kristu yu hai
 
Hayo yote uliyobwabwaja hayajajibu swali langu.

Kula mwili wa mtu ni imani za kichawi na kishirikina.

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Jibu:


quote_icon.png
By FaizaFoxy

Jamani kula mwili wa mtu si "cannibalism" hiyo?


Nijuavyo ni wachawi ndio wanakula mwili na damu ya mtu.


Bimkubwa FaizaFoxy

a)
1. Wewe ni mchawi?

2. Thibitisha jinsi wachawi wanavokula nyama za watu.
 
Bimkubwa FaizaFoxy

a)
1. Wewe ni mchawi?

2. Thibitisha jinsi wachawi wanavokula nyama za watu.


b)
Unachofanya ni uchafu maana huwezi kuprovu mambo ya imani.

Imani ya mtu itabakia kuwa nadharia ya akilini na phyisiacally huwezi iprove

Imani ya mtu ipo rohoni. haikamatiki

1. Watu wanaamini kunapepo/kuzim kunaprovu yoyote katika hilo?

2. Watu tunaamini shetani anaexist, nani amemuona umeona popote?

3. Baadhi yetu tunaamini kuna mbingu, chaajabu ukipaa na ndege chini napo panaonekana mbingu!

4. Tunaamini mtu mwema akifa anakwenda mbinguni/peponi nani kati yetu amefika nakuina pepo walau utupe picha ya majengo ya pepo ilivyo.

5. watu wanaamini wakienda kuhiji makha au kwa wayahudi wanapata barka nani anauhakika na kipimo cha hiyo barka

Imani ya wakatoriki inabakia katika mioyo yao na wajingawajinga, wanafiki na wachafuzi wanabaki kati uzushi maana imani ya mtu haionekani wala kukamatika.

https://www.jamiiforums.com/jokes-u...ya-kusisimua-padri-mla-nyama-za-watu-1-a.html
 
Mohammed alipowaita watu weusi wenye nywele za curl kuwa ni mashetani, ulimuelewa au tukupe darsa?

Sijayaona hayo, isipokuwa nimeona kwenye Biblia Yesu akimwita asiye myahudi "mbwa" na "nguruwe", Jee, wewe ni myahudi?

Ushahidi:

<address>Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.</address>Mathayo 7.6


Hapo sasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom