Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Ndoa nyingi zimekuwa na msuguano mbalimbali na hii ni kutokonana na ongezeko la joto duniani
lakini pamoja na hayo bado watoto wanazidi kuzaliwa kwenye ndoa hizo hizo za mikeke na basharati
swali linakuja je watoto ulionao baba yao ni huyo wa ndoa ama wakati ukiwa na hasira ukaamua
kwenda chemba na vingast na sasa baba watoto anageuka kuwa baba mlezi...
Je wewe ni mmoja wa bbaba walezi !!!
lakini pamoja na hayo bado watoto wanazidi kuzaliwa kwenye ndoa hizo hizo za mikeke na basharati
swali linakuja je watoto ulionao baba yao ni huyo wa ndoa ama wakati ukiwa na hasira ukaamua
kwenda chemba na vingast na sasa baba watoto anageuka kuwa baba mlezi...
Je wewe ni mmoja wa bbaba walezi !!!