Salaam,
Baba wa kambo wengi wanaroho ya pekee sana, huwalea kwa upendo mkubwa sana watoto wa kambo kuliko hata watoto wakuzaa.
Mwanangu wa ujanani, kalelewa vyema sana na baba wa kambo, hakika hawa watu wanastahili maua yao, kwa mioyo yao ya pekee.
Baba wa kambo wengi wanaroho ya pekee sana, huwalea kwa upendo mkubwa sana watoto wa kambo kuliko hata watoto wakuzaa.
Mwanangu wa ujanani, kalelewa vyema sana na baba wa kambo, hakika hawa watu wanastahili maua yao, kwa mioyo yao ya pekee.