ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,805
- 60,657
- Thread starter
- #281
Hongera mimi wangu walifariki mwezi uliopita..mke anamaliza 40 next week tuje kuanza kazi ya kuujaza ulimwenguMleta mada, tushamaliza hii safari, Mungu mwema!
Hongera mimi wangu walifariki mwezi uliopita..mke anamaliza 40 next week tuje kuanza kazi ya kuujaza ulimwenguMleta mada, tushamaliza hii safari, Mungu mwema!
Duh pole sana mkuuBahati mbaya sana watoto wangu walipoteza maisha ilikuwa mapacha njiti
Hongera sana .mbona karume na tandika nguo zinaanzia mia.mbili hamsini? Nguo hyo hyo sinza moja 35 elfu .ni wewe tu mkuuMungu ni mwema mtoto wangu anaendelea vzr. Sema vitu bei
View attachment 2691917
View attachment 2691918
Me niliorder alibaba na kikuuMungu ni mwema mtoto wangu anaendelea vzr. Sema vitu bei
View attachment 2691917
View attachment 2691918
Kuvamia mwezi kawaida mbonaAugust tayar?
Pole sana kaka .Asante mkuu nishapoa nilipata nafasi kuingia NICU dodoma General kumuona wa kike dah aisee sijui hata nimuelezee vp..njiti wana fight sana...anyway mambo Ya Mungu hatuna comment hapo
Asante mkuu .nawe karibuNakumbuka niliwahi kuwa katika chombo cha usafiri kuna mada kama hizi za uzazi zikawa zinazungumzwa kuna mtu wa makamo tu akaropoka mi sioni faida ya watoto.
Nikamwambia acha kutupunga wewe ungekuwa huna sahizi yawezekana ungekuwa unaloga tu huko upate akapanic sana raia wote wakamvaa ilikuwa kimya safari nzima.
Hongereni vijacho...
Pole sana kaka,Mungu atakusaidia utapata wengine,inauma sanaBahati mbaya sana watoto wangu walipoteza maisha ilikuwa mapacha njiti
Hongera sanaAisee namshukuru Mungu tarehe 7/7 saa 7 mchana nimempata kamanda. Kwahiyo sasa nina makamanda 2, hawa walinzi wangu wa badae
Dah we Acha mkuu kwa kuwa me wa kiume na niliruhusiwa mara moja tu kuwaona NICU ila navaa viatu vya mke wangu ambaye alikuwa akienda kumnyonyesha aliyebaki cc 3 za maziwa mpaka zikafika cc 10 kwa siku..katoto hukaangalii mara mbili lazima usali aseePole sana kaka,Mungu atakusaidia utapata wengine,inauma sana
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Daah pole sana mkuuDah it was so pain...13/6..walizaliwa wakiwa na miezi 6 na week 3..ndo maana ikawa ngumu kusurvive..wa kiume 1 kg akafariki kesho yake wa kike 900 gm ye kapigania maisha week nzima
Nishapoa mkuu ilikuwa ni tukio la kusikitisha sana nilitamani niliweke hapa jukwaani walau nipewe faraja ila nikajikaza kwa status niliyonayo sasa hv sio vzr kuanika mambo private ila wana jf nawashukuru sana nakua na nyie daima money talk nakuacknowledge toka miaka mitatu ama minne nyuma (nakufaham) Huna bayaDaah pole sana mkuu
mungu wetu ni mwema kaka inshaallha utapata mwengineDah we Acha mkuu kwa kuwa me wa kiume na niliruhusiwa mara moja tu kuwaona NICU ila navaa viatu vya mke wangu ambaye alikuwa akienda kumnyonyesha aliyebaki cc 3 za maziwa mpaka zikafika cc 10 kwa siku..katoto hukaangalii mara mbili lazima usali asee
kaka nayahisi maumivu yako,nakosa hata neno lakusema ila iko siku kwa uwezo wa mungu utaitwa babaNishapoa mkuu ilikuwa ni tukio la kusikitisha sana nilitamani niliweke hapa jukwaani walau nipewe faraja ila nikajikaza kwa status niliyonayo sasa hv sio vzr kuanika mambo private ila wana jf nawashukuru sana nakua na nyie daima money talk nakuacknowledge toka miaka mitatu ama minne nyuma (nakufaham) Huna baya
Mungu awatie nguvu,kwakweliDah we Acha mkuu kwa kuwa me wa kiume na niliruhusiwa mara moja tu kuwaona NICU ila navaa viatu vya mke wangu ambaye alikuwa akienda kumnyonyesha aliyebaki cc 3 za maziwa mpaka zikafika cc 10 kwa siku..katoto hukaangalii mara mbili lazima usali asee
Pole sanaBahati mbaya sana watoto wangu walipoteza maisha ilikuwa mapacha njiti
Hili nalo neno WiFi yako pia kasema ngoja nijiongeze tu.pande izo. Jamani mungu ni mwema katoto kangu karembo mpk unatamani kasikue kawe ivyo ivyo tu.Mungu msimamie mwanangu amen [emoji120]Hongera sana .mbona karume na tandika nguo zinaanzia mia.mbili hamsini? Nguo hyo hyo sinza moja 35 elfu .ni wewe tu mkuu
Asante mkuu