Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,701
- 16,128
Kama umejipanga wala hutosumbuka, usizae kwa ajili ya mtu zaa kwa ajili yako mwenyewe hautakuwa disappointedme too ila kuna muda karoho kanasita hako
Kama umejipanga wala hutosumbuka, usizae kwa ajili ya mtu zaa kwa ajili yako mwenyewe hautakuwa disappointedme too ila kuna muda karoho kanasita hako
[emoji3526][emoji3526] nije PM tuongee kitu ata mm sina mpenzi sina nini hila nataka kama ww [emoji3526][emoji3526]Mimi natamani kupata mimba mwaka huu...sina bwana sina mpenzi..God will provide
Hahaha sawa[emoji3526][emoji3526] nije PM tuongee kitu ata mm sina mpenzi sina nini hila nataka kama ww [emoji3526][emoji3526]
Uko wapi nikuconnect na bwana mtoa mimba ?Mimi natamani kupata mimba mwaka huu...sina bwana sina mpenzi..God will provide
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] anifanyie delivery auUko wapi nikuconnect na bwana mtoa mimba ?
Kwanza nenda hosptalWakuu, namshukuru Mungu tumepata mtoto wa kike.
Kipengele kipo kwenye tumbo la mtoto. Mtoto anaumwa sana tumbo na halali kabisa usiku. Navyosema halali ni hafungi jicho kabisa, analia tu usiku kucha. Halafu anaharisha kamba kamba kama makamasi. Hospital wanasema ni kawaida hamna dawa eti
Mwenye anaefahamu dawa anisaidie.. mtoto ana one week tu.
Ahaaaa tulia bnaHuna mimba ww
Looh jamani ukitaka uje nikupe formulaMimi natamani kupata mimba mwaka huu...sina bwana sina mpenzi..God will provide
Una mimba ya mwezi au??Sisi wengine mwakani mwezi wa pili
Sio tu kutaka mkutane,jipange kwani hayo majukumu🤔Wale ambao tunategemea kupata watoto mwaka huu tukutane hapa tujuzane mambo ya kuzingatia.Mimi ni mmojawapo ambae mwaka huu Mungu akijalia kwenye mwezi wa nane mwezi niliozaliwa mimi basi nitapata ka firstborn inshaalaah.
Mwezi wa 12 mwishoni nilimtafuta wa kucheza naye kitandani hatimaye matunda yametick week hiihii. Nilikuwa nafikiri pombe kali nilizowahi kunywa labda zingeathiri ubora wa mbegu zangu lakini kumbe sio kweli kwa vijana, of course nilipata sana mawazo ni kama sikuwa tayari ila nikakalishwa chini nikapangwa nitulie mtoto bado hata hajaanza kunywa uji nilishaanza mawazo je akizaliwa kabisa.kwanza nilitaka kuikataa maana me nilikuwa najua kwamba danger days ni siku 7 baada ya kumaliza period yake kumbe sivyo hata zile 7 za mwanzo before hajaanza kutoka damu ukitia mimba sekunde tu..ukiwa rijali upige kimoja au vitano jua bao la kwanza tu speed vitu vinaenda mimba inaundwa.
Sasa nilichoaswa na watu wazima ambacho ndo lengo la uzi;
1. Mimba changa mwanamke ananoga unalipata joto lake original hivyo kupindi hiki kizuri kwa ajili ya kutotolesha ukae na mama kijacho mpeane mapenzi japo ni kipindi cha mabadiliko kutapika kwingi utaamua wewe akae kwa ndugu zake wawe karibu akihitaji msaada au ukae nae wewe.
2. Ukifanya mapenzi na watu wengine huko hakikisha umeoga vizuri usifanye haraka kwenda kumlala mkeo ilihali kuna infections unaweza kumpa zikampa mtoto maradhi.
3. Tunza hela hiki ndo kipindi cha kuacha utoto sasa majukumu yanaanza tu za hela za matunzo ya ujauzito na mtoto akizaliwa.
Kama kuna la kuongozea niongezee.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]nipo hapa dear naomba formula tafadhaliLooh jamani ukitaka uje nikupe formula
Ngoja nianze dundulizaKama umejipanga wala hutosumbuka, usizae kwa ajili ya mtu zaa kwa ajili yako mwenyewe hautakuwa disappointed
Hongera sanaAti?????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji736]️[emoji736]️[emoji736]️[emoji736]️[emoji736]️kimetki wakuu mwezi mmoja na wiki 2
Wewe jichanganyeYan nimekuja kugundua kumbe zile kauli mbiu za humu za kataa ndoa kumbe ni kutuzuga tu wengine apa Sasa natangaza ndoa mwezi wa saba na mwakani inshallah naitwa BABA rasmi .
Mama mkwe samahani kwa kuto kukupokelea sim juzi kale ka mishe nakutumia leo jioni mi mkwilima wako alie tukuka [emoji1431]