Kaimba Francois Makassy, "Franswaa". Na aliuimba baada ya kujitwaalia mke wa kigogo...jamani ivi huo wimbo wa baba paroko kaimba nani...mi nahisi ni sauti ya PAPA WEMBA....naombeni uhakika jamani
Kuna mdau JF aliomba wimbo wa Baba Paroko; nimeupata huu hapa.
Enjoy..!