Baba niko busy, nikipata nafasi nitakuja

Baba niko busy, nikipata nafasi nitakuja

Hali halisi ilivyo ni kuwa jamaa anarudi at any time, anaoga, anaweka nguo kwenye kapu la nguo chafu, anabadili nguo safi. Kama ni mchana anacheza na watoto, anawasaidia home work. Akiamua saa yeyote anachimba.
Exactly as nilivyokuelewa, upendo ulishakufa kati yao, wapo tu kulea watoto, Kila mtu na maisha yake. Ndo maana nikasema huyo shoga ako aamke usingizini, akubaliane tu na hali ya sasa kuwa let alone ndoa, upendo tu haupo, aanze kutafuta maisha yake na wanawe. Au wewe unataka shosti ako afanyaje maybe?
 
Exactly as nilivyokuelewa, upendo ulishakufa kati yao, wapo tu kulea watoto, Kila mtu na maisha yake. Ndo maana nikasema huyo shoga ako aamke usingizini, akubaliane tu na hali ya sasa kuwa let alone ndoa, upendo tu haupo, aanze kutafuta maisha yake na wanawe. Au wewe unataka shosti ako afanyaje maybe?
Asante nimekuelewa, inabidi mmoja akubali kuwa chini, maisha yaende, na wa watoto wakue.
 
Asante nimekuelewa, inabidi mmoja akubali kuwa chini, maisha yaende, na wa watoto wakue.
Wewe Usione watu wanasimama "Nipo kwenye ndoa mwaka wa 20" ukadhani yupo paradiso. Kuna watu wanaishi nyumba moja kwa miaka 20, sio ndoani. Wapo pale kulea watoto full stop. Tena unakuta baba hajui familia inakula wala kuvaa nini, akirudi ni kusambaza tu magonjwa yake aliyotoka nayo nje. Sasa shoga ako as long as me naona haiangamizi nafsi yake kuishi nyumba moja na huyo kaka, let her stay kwa ajili ya wanawe. Akiona kuna Vitu vinamshinda kukaa humo ndani, ataondoka tu taratibu. Lakini kwa muda huu ambao anarudi, ajipange vizuri aanze kujitafutia maisha yake. Hata siku akisema anaondoka, anajua wapi pa kuanzia, sio kurudi tena kwa wazazi wake na mizigo yake
 
Wewe Usione watu wanasimama "Nipo kwenye ndoa mwaka wa 20" ukadhani yupo paradiso. Kuna watu wanaishi nyumba moja kwa miaka 20, sio ndoani. Wapo pale kulea watoto full stop. Tena unakuta baba hajui familia inakula wala kuvaa nini, akirudi ni kusambaza tu magonjwa yake aliyotoka nayo nje. Sasa shoga ako as long as me naona haiangamizi nafsi yake kuishi nyumba moja na huyo kaka, let her stay kwa ajili ya wanawe. Akiona kuna Vitu vinamshinda kukaa humo ndani, ataondoka tu taratibu. Lakini kwa muda huu ambao anarudi, ajipange vizuri aanze kujitafutia maisha yake. Hata siku akisema anaondoka, anajua wapi pa kuanzia, sio kurudi tena kwa wazazi wake na mizigo yake
Yah nimekuelewa sana, kuna watu wapo pamoja kwakuwa walinunua nyumba pamoja na wakiachana nyumba iuzwe kuna anaeona pesa atakayo pewa haitamtosha kuanzisha maisha anayotaka yeye. Kuna watu kinachowafanya wawe pamoja ni kile kiapo cha ndoa, kuna wengine wanasubiri watoto wakue. Kuta na paa zinaficha mengi.
 
Hali halisi ilivyo ni kuwa jamaa anarudi at any time, anaoga, anaweka nguo kwenye kapu la nguo chafu, anabadili nguo safi. Kama ni mchana anacheza na watoto, anawasaidia home work. Akiamua saa yeyote anachimba.
Sawa hata kama, ila wee mwambie shoga yako arudi akalee watoto wake. Ulimpa ushauri mbovu sana hata kama ningekuwa mimi jamaa ningekaa kimya kwa kumuona hathamini hata wanae, anakimbia wanae duuh!!, mi ndo mara ya kwanza kusikia mama anaondoka anaacha watoto wake wote
 
Asante nimekuelewa, inabidi mmoja akubali kuwa chini, maisha yaende, na wa watoto wakue.
Tena mwambie kabisa hata jamaa akijaribu kumwambia arudi alikokuwa asitoke humo ndani tena, hapo kafika ni Kigoma mwisho wa reli hakuna kutoka tena, na wala asitake kubishana bishana na mumewe, yeye akae alee wanae, mambo mengine yatajiseti with time. Usikute jamaa kaishalishwa vya kulishwa huko hata hajielewewi tena
 
Yah nimekuelewa sana, kuna watu wapo pamoja kwakuwa walinunua nyumba pamoja na wakiachana nyumba iuzwe kuna anaeona pesa atakayo pewa haitamtosha kuanzisha maisha anayotaka yeye. Kuna watu kinachowafanya wawe pamoja ni kile kiapo cha ndoa, kuna wengine wanasubiri watoto wakue. Kuta na paa zinaficha mengi.
Now you are talking!!! kamwambie sasa then utuletee mrejesho
 
Kibaya zaidi shost ananilaumu kwa aidea yangu ya kuondoka, ananiambia ni aibu sasa akirudi itaonyesha kabisa yeye ndie mwenye shida ni kheri asingeondoka.
ndio maana mambo ya mapenzi ya watu hayaingiliwagi hata kidogo...maanahapo atashikilia umemponza hata kama sio
 
shi
Kitu kingine kinamuuma ni aibu aliyomwingiza baba yake, yani jamaa ameonyesha dharau kwa baba. Nimeongea nae anasema baba pia hamshauri kurudi kwa mwanaume mwenye dharau hizo.
da hiyo...tayari baba naye ana mkono wake yani mawazo yake ambayo yanamchanganya tubinti...eti asirudi je binti yuko tayari.....mambo mengine ni kuhanganya habari unapokuwa na mixed advice pande nyingi...afatishe akili zake na moyo wake sasa
 
Mwambie arudi tu maana hakuna namna.

Siku nyingine asitest sumu kwa kuilamba hata kama imeisha muda wake
 
aliyataka mwenyewe kwanini aliishi naye bila ndoa?
Kuna rafiki yangu mmoja alitaka ushauri, eti mwanaume wake anataka wazae kwanza ndio atamuoa, nikamwambia asifanye hivyo, akasema sawa, baadae akaja na gia nyingine, eti anataka waishi wote, nikamwambia asifanye hivyo, akasema sawa, sasa kilichotokea sijui ni nini, sasa hivi shostito kakata mawasiliano na aliamua kuishi na huyo mwanaume, yanayoendelea huko hata Darfur kuna afadhali
 
aliyataka mwenyewe kwanini aliishi naye bila ndoa?
Kuna rafiki yangu mmoja alitaka ushauri, eti mwanaume wake anataka wazae kwanza ndio atamuoa, nikamwambia asifanye hivyo, akasema sawa, baadae akaja na gia nyingine, eti anataka waishi wote, nikamwambia asifanye hivyo, akasema sawa, sasa kilichotokea sijui ni nini, sasa hivi shostito kakata mawasiliano na aliamua kuishi na huyo mwanaume, yanayoendelea huko hata Darfur kuna afadhali
Mhn anaona aibu hata kukutafuta.
 
Mapenzi kizungurumkuti no basic formula kila same question different formula. Dah ndio maisha ila chamsingi watoto bora basi angesepa na watoto jamaa angetafuta watoto na automatically yeye. Ila angalizo angeweza ondoka na watoto bado jamaa asimtafute coz no formula kama nilivyosema. Chamsingi arudi kwa sasa regret lazima iwepo coz amekua disappointed coz ali expect a lot and receive zero. After all ndio maisha na mapenz kiujumla. Girls take care upepo wa boyz unavuma any time in different direction.
 
Mapenzi kizungurumkuti no basic formula kila same question different formula. Dah ndio maisha ila chamsingi watoto bora basi angesepa na watoto jamaa angetafuta watoto na automatically yeye. Ila angalizo angeweza ondoka na watoto bado jamaa asimtafute coz no formula kama nilivyosema. Chamsingi arudi kwa sasa regret lazima iwepo coz amekua disappointed coz ali expect a lot and receive zero. After all ndio maisha na mapenz kiujumla. Girls take care upepo wa boyz unavuma any time in different direction.

Unajua the majority of girls, siku ya kwanza ya date anakuangalia sura, pamba ulizovaa, anapiga mahesabu jamani handsome. Ukimtafuta siku ya pili ameshaweka mh ameniona mimi wife material, baada ya wiki ameshaanza kufikiria vikao vya harusi. Ndiyo maana mapenzi yakikatika ghafla tunaumia kwasababu kichwani tumeshafika mbali sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom