Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Sasa ndio kamrithi mwanawe au wanyakyusa mna machifu Baba na Mwana?
Nadhani atabaki chifu wao tu! Sie wa kwetu ni Dr SlaaSasa ndio kamrithi mwanawe au wanyakyusa mna machifu Baba na Mwana?
Wao wamevaa nguo za kaniki huyu waliyemsimika kavaa the sanda like. Ndio utaratibu wa kiuongozi Mbeya nini?Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Mh. Dr. Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na machifu wa Mbeya waliongozwa na Chifu mkuu,chifu Mweshenga mara baada ya kusimikwa uchifu.
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Mh. Dr. Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na machifu wa Mbeya waliongozwa na Chifu mkuu,chifu Mweshenga mara baada ya kusimikwa uchifu.
Ndaga fijo,
wasafwa
Inaonekana wazee wa kinyakyusa nao ni hamnazo!!! Hata kama ni kujipendekeza basi hii sasa ni too much.
kwahiyo wamemsimika mkuu uchifu sio?
sasa ndio kamrithi mwanawe au wanyakyusa mna machifu baba na mwana?
Kwani we hujui u chifu unarithishwa?
Kuna koo ambazo ni za kichifu, hao ndio huinjoi neema ya nchi
wasafwa