JK ndiye Nyakyusa's majestic Chief Mwangupili?
Chief wa Wanyakyusa hauwezi simikwa ukiwa Mbeya Mjini;Wanyakyusa wapo kwa wingi Wilaya mbili tu Mkoani Mbeya nazo ni Kyela na Rungwe na kama unapewa nafasi hiyo kubwa ya kimila unatakiwa uwepo Kyela au Rungwe chini ya amri za "Mafumu"!
Chief Mwangupili huwezi pewa ukiwa Mbeya mjini ambayo ni mbali sana na Nyakyusa land tena eti ukisimikwa kwenye nafasi hiyo na Chief wa wasafwa Mwashenga;hii ni dharau kwetu!
Pia,kwa mila za wanyakyusa,haiwezekani Baba(JK)awe Chief na pia mtoto(Ridhiwan)awe chief wa kabila hilo hilo bila kusubiri kwanza baba yake"aondoke"!Nahisi wamedanganywa!!
Nadhani atabaki chifu wao tu! Sie wa kwetu ni Dr Slaa
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Mh. Dr. Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na machifu wa Mbeya waliongozwa na Chifu mkuu,chifu Mweshenga mara baada ya kusimikwa uchifu.
Sasa ndio kamrithi mwanawe au wanyakyusa mna machifu Baba na Mwana?
wafurahishe watoto kwa pipi
Inaonekana wazee wa kinyakyusa nao ni hamnazo!!! Hata kama ni kujipendekeza basi hii sasa ni too much.
Sio mweshenga , ni MWANSHINGA huyo ndio chifu mkuu wa mbeyaMgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Mh. Dr. Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na machifu wa Mbeya waliongozwa na Chifu mkuu,chifu Mweshenga mara baada ya kusimikwa uchifu.
Mbeya mjini na vijijini ni chifu MWANSHINGA yaani himaya ya msafwa . Mbozi mnyiha ... Rungwe na kyela mwangupili nyakyusaJK ndiye Nyakyusa's majestic Chief Mwangupili?
Chief wa Wanyakyusa hauwezi simikwa ukiwa Mbeya Mjini;Wanyakyusa wapo kwa wingi Wilaya mbili tu Mkoani Mbeya nazo ni Kyela na Rungwe na kama unapewa nafasi hiyo kubwa ya kimila unatakiwa uwepo Kyela au Rungwe chini ya amri za "Mafumu"!
Chief Mwangupili huwezi pewa ukiwa Mbeya mjini ambayo ni mbali sana na Nyakyusa land tena eti ukisimikwa kwenye nafasi hiyo na Chief wa wasafwa Mwashenga;hii ni dharau kwetu!
Pia,kwa mila za wanyakyusa,haiwezekani Baba(JK)awe Chief na pia mtoto(Ridhiwan)awe chief wa kabila hilo hilo bila kusubiri kwanza baba yake"aondoke"!Nahisi wamedanganywa!!
Inaonekana wazee wa kinyakyusa nao ni hamnazo!!! Hata kama ni kujipendekeza basi hii sasa ni too much.