TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,511
- 11,271
Jamaa alienda kumchukua mwanae shuleni baada ya shule kufungwa. Alipopewa ripoti ya maendeleo ya mwanae akaona kuwa mtoto ana matokeo mabaya sana, Sasa wakiwa kwenye Taksi kurudu nyumbani na mwanaye akamuuliza "Umeona wanafunzi wenzako wenye juhudi wakipewa zawadi?" Mtoto naye akamjibu kwa kumuuliza swali "Na wewe umeona wababa wenzako wenye juhudi walivyokuja na Hammer, Range rovers, Benz na Ma-BMW?"
Ungekuwa wewe ndiye Mdingi ungemfanyaje huyo Chalii?
Ungekuwa wewe ndiye Mdingi ungemfanyaje huyo Chalii?