Baba mwenye umri mdogo duniani

Baba mwenye umri mdogo duniani

hance mtanashati kuweka story yako sawa,Hii ilitokea takribani miaka 18 iliyopita(1998).Mwaka 2009(miaka 11 baadae) huyo Sean alikamatwa na kufungwa jela miezi saba kwa sababu za wizi.Emma Webster baadaye aliolewa na mwanaume mwingine.

Ilikuwa nimalize thread nianze kuitafuta hii issue, make nakumbuka kuiona miaka ya 90 mwishoni au 2000 mwanzoni, picha hii hii.

Asante mkuu
 
Ivi ww mtu mzima more than 40 unaandika ujinga hivii hatarii sana, kuna siku ulileta uzi, ukitushauri sisi wadogo zako tuwe wastaarabu ww vp?
Imepenya hiyoooo imooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Hao watoto ndio hawa hapa, walilea mtoto wao, wakaoana na wana mtoto mwingine na bado wako pamoja.. sio vischana vya bongo, ajira anayo na bado vinatoa toa mimba hovyo.
1473228508258.png
 
Huku vijijini kwetu wamefika? au dunia ya weupe.
 
Sean Stewart mwenye umri wa miaka 12 anayeishi Uingereza ndiye anayesemekana kuwa ndio baba mwenye umri mdogo zaidi duniani



Sean anasoma darasa la saba katika shule ya Margaret Beaufort ameruhusiwa kukaa nyumbani ili kuwa karibu na mpenzi wake aliyejifungua wiki hii aitwae Emma Webster


Sean alitimiza miaka 12 mwezi mmoja uliopita , na alimpa ujauzito Emma akiwa na miaka 11 huku Emma akiwa na miaka 15


Sean anasema alishtuka kwa mara ya kwanza aliposkia Emma ana ujauzito wake ila kwa sasa ana jiona yupo sawa na ana furaha isiyo na kifani



View attachment 395211. Sean akiwa na mtoto wake




View attachment 395212. Sean akiwa na mtoto wake





View attachment 395213. Sean akiwa na mpenzi wake na mtoto wake
Hii issue siyo ya hivi karibuni, ilitokea miaka mingi iliyopita. If I am not mistaken it is more than 10 years ago
 
Kapigwa changa la uso huyo dogo,mimba siyo yake hata kidogo.
 
OTE="MKWEPA KODI, post: 17519333, member: 341224"]Huyo dada anakaonea hako kavulana[/QUOTE]
Kwa sheria zetu, huyo dada amembaka kijana mdogo. Mwanamume anayempa mimba msichana aliye chini ya umri wa miaka 18 hata kama wamekubaliana anashtakiwa kwa kosa la kubaka.
 
Kumbe wazungu wanabarehe mapema eee! Halafu kumbe wazungu wanaanza ngono mapema kiasi hicho! Mi nilidhani kwa umri huo huwa wanakua busy kunoa vipaji vyao kumbe ni kuruka na kukanyagana tu! Sheet....
 
Back
Top Bottom