brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Sean Stewart mwenye umri wa miaka 12 anayeishi Uingereza ndiye anayesemekana kuwa ndio baba mwenye umri mdogo zaidi duniani.
Sean anasoma darasa la saba katika shule ya Margaret Beaufort ameruhusiwa kukaa nyumbani ili kuwa karibu na mpenzi wake aliyejifungua wiki hii aitwae Emma Webster.
Sean alitimiza miaka 12 mwezi mmoja uliopita, na alimpa ujauzito Emma akiwa na miaka 11 huku Emma akiwa na miaka 15.
Sean anasema alishtuka kwa mara ya kwanza aliposkia Emma ana ujauzito wake ila kwa sasa ana jiona yupo sawa na ana furaha isiyo na kifani.
.
Sean akiwa na mtoto wake
.
Sean akiwa na mtoto wake
.
Sean akiwa na mpenzi wake na mtoto wake
Sean anasoma darasa la saba katika shule ya Margaret Beaufort ameruhusiwa kukaa nyumbani ili kuwa karibu na mpenzi wake aliyejifungua wiki hii aitwae Emma Webster.
Sean alitimiza miaka 12 mwezi mmoja uliopita, na alimpa ujauzito Emma akiwa na miaka 11 huku Emma akiwa na miaka 15.
Sean anasema alishtuka kwa mara ya kwanza aliposkia Emma ana ujauzito wake ila kwa sasa ana jiona yupo sawa na ana furaha isiyo na kifani.
Sean akiwa na mtoto wake
Sean akiwa na mtoto wake
Sean akiwa na mpenzi wake na mtoto wake