agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,412
Kwendraaaa.Anakuja
Ila usiniangushe sasa. Nakutegemea![]()
Kwendraaaa.Anakuja
Ila usiniangushe sasa. Nakutegemea![]()
Makavu live HahahahahUnadai condom au pesa?!!!
Umekazana condom zako wakati zimetumiwa na mwingine!! Basi uwe unamfuata akishazitumia uchukue.
![]()
![]()
![]()
![]()
Wewe mtoa mada Mungu anakuona. Una dhambi mbili. Dhambi yako ya kwanza ni kubwa sana maana umemwezesha mwenye nyumba wako kuzini. Dhambi yako ya pili ambayo ni mbaya zaidi unamsaidia mwenye nyumba wako kuvunja ndoa yake.
mkuu, ukiwa vitani ukamuua adui alie-surrender...huu unaitwa uhalifu wa kivita! So,na mm cjiskii vbaya ninapoamua ku-play by my rules ktk biashara...hzo nyngine ni busara tu na hekima!