Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,274
Umeambiwa amekopa condom, so hawezi kupata ukimwi katumia kingaNdomana wanandoay wanaongoza kupata maambukizi ya virus vya ukimwi kisa wanaogopa kuharibu ndoa zao.
Umeambiwa amekopa condom, so hawezi kupata ukimwi katumia kingaNdomana wanandoay wanaongoza kupata maambukizi ya virus vya ukimwi kisa wanaogopa kuharibu ndoa zao.
Ilo pia ni wazoNenda kadai ndom zako aiseee...ni muhim sana hio ni business aisee, ukimkosa mke wake hata mtoto ake wa kike mdai tuu

Mzigua pita hapa...Tukiingia kwenye ndoa yetu tusirudie haya makosa.
Unadhani rafu zote anacheza na condom?Umeambiwa amekopa condom, so hawezi kupata ukimwi katumia kinga
Hata sijuiUnadhani rafu zote anacheza na condom?
Una hamu ya kumuona bimkubwa ??Mzigua pita hapa...
Bi mkubwa? Kwani nani bi mdogo?Una hamu ya kumuona bimkubwa ??
Nikupendaye sana, uko poa mamy?
Hujaeleweka. Wanaongoza kupata msambukizi wakati jamaa analalamika wanamkopa condom hawalipi? Iweke vizuriNdomana wanandoay wanaongoza kupata maambukizi ya virus vya ukimwi kisa wanaogopa kuharibu ndoa zao.
Bi mdogo ni Miss Agata EBi mkubwa? Kwani nani bi mdogo?
Ahsant boss...nampa last chanceHuko kutema makohozi ni dharau kubwa sana,mambo ya kujifanya Kelvin Yondani sio mazuri.
Mpe nafasi ya mwisho akikataa fikisha hili jambo kwa mkewe,ubaya ubaya tu
Imani yangu airuhusu kuwa bi mdogo wala mkubwa....imani yangu ya mke mmoja tuu..so ukija kwangu lazima ujipange kuacha makandokando yote.Bi mdogo ni Miss Agata E
Bas iwe siri yetu. Wew ndio utakuwa the one n only.Imani yangu airuhusu kuwa bi mdogo wala mkubwa....imani yangu ya mke mmoja tuu..so ukija kwangu lazima ujipange kuacha makandokando yote.
Mwite mzigua hapa uthibitishe...😀😀Bas iwe siri yetu. Wew ndio utakuwa the one n only.
AnakujaMwite mzigua hapa uthibitishe...😀😀

