Baba mwanaasha unawafukuza lini hawa?

WanaJF hamumtendei haki huyu mtoto, mnatakiwa kumpa pole na kumpa matumaini kuwa bado kunafursa nyingine katika maisha ambazo anaweza kuzifuata kufanikisha malengo yake kwa namna inayofaa. Tuanche kumbeza, kumkejeli, kumzodoa na mengine yanayofanana na hayo. Anguko katika maisha sio kwenye mitihani tu. Tubadilike, tuwe watu wakupeana matumaini na njia za kukabiliana na matatizo kwa wenzetu wanaokabilana na shida.
hahaha ...kwa hiyo unafikiri huyu dogo mko level moja? unafikiri mtakutana mtaani ee? kalabagaho
 
hahaha ...kwa hiyo unafikiri huyu dogo mko level moja? unafikiri mtakutana mtaani ee? kalabagaho

Mzalendo wa kweli wa Jamhuri ya Tanziania, mwenye moyo na fikra za umoja,shupavu, na asiye na uwoga,hawezi kufikiria katika namna ya utofauti unaolazimisha kuuonyesha. Ukianza kufikiria mambo ya level level unakuwa unajijengea inferiority complex mood mkuu. kwa maneno mengine unakuwa unajitoa katika kukabidhiwa majukumu mazito ya kuleta maendeleo katika nchi hii. Ebu fikiria mara mbili mkuu juu ya wazo lako hilo.
 
Mwenye picha ya mwanaAsha jamani tuthaminishe, lo kumbe huyu M'kwere aweza jaza hii nji peke yake
 
Mzalendo wa kweli wa Jamhuri ya Tanziania, mwenye moyo na fikra za umoja,shupavu, na asiye na uwoga,hawezi kufikiria katika namna ya utofauti unaolazimisha kuuonyesha. Ukianza kufikiria mambo ya level level unakuwa unajijengea inferiority complex mood mkuu. kwa maneno mengine unakuwa unajitoa katika kukabidhiwa majukumu mazito ya kuleta maendeleo katika nchi hii. Ebu fikiria mara mbili mkuu juu ya wazo lako hilo.
sasa kama mzazi kashindwa kumsaidia/KUMSIMAMIA MWANAWE HADI KAPIGA DIV YA UKWELI UNAFIKIRI NCHI NDIO ATAIWEZA?direct proportional
 
sasa kama mzazi kashindwa kumsaidia/KUMSIMAMIA MWANAWE HADI KAPIGA DIV YA UKWELI UNAFIKIRI NCHI NDIO ATAIWEZA?direct proportional

Nakubaliana na wewe kuwa mzazi anahusika kwa namna moja ama nyingine kuathiri matokeo ya mtihani wa mwanaye, lakini hicho sio kigezo pekee kinachosababisha kufaulu au kushindwa kwa mtoto mitihani.kuna vigezo vingi vinavyoathiri matokeo ya mtihani wa mwanafunzi.

Jaribu kuangalia kwa undani kuanzia mtoto anapojianda kufanya mtihani, anaposimamiwa kufanya mtihani, mtihani unaposahihishwa,na matokeo yanavyoandaliwa ili kutangazwa. Yawezekana kabisa katika hatua hizi mzazi anakuwa hana tena wezo wa kuathiri kwa uzuri matokeo ya mwanafunzi, mfano mzazi hasahihishi mtihani. Yawezekana kabisa pia Binti huyu akikata rufaa mtihani wake ukasahihishwa upya ukakuta kumbe alifaulu kwa alama za juu kabisa ila msahihishaji/wasahihishaji alimkosesha. Kesi za namna hii zipo nyingi.
 
jamani mimi yule mwanaasha nimemzimia mbaya sijui mtanisaidiaje wana jf mi niko tayari kumsubiri mpaka amalize shule jamani msaada tafadhali
We wa ajabu sana,
Unaacha kuwazimia Ma-Great Thinker wa hapa JF,
eti unaenda kumzimikia yule kilaza wa Mwisho!!!!!!??
 
Baba mwanasha kalala usingizi mpaka ashtuliwe kwa bomu ila ingekua ni kusafiri duh anavyopenda safari za nje ndo mana nyerere kampaga mambo ya nje. Akiamka haposafari ungaibuni yani hatuna raisi hapa kushney

Nyerere? Mkapa!
 
WanaJF hamumtendei haki huyu mtoto, mnatakiwa kumpa pole na kumpa matumaini kuwa bado kunafursa nyingine katika maisha ambazo anaweza kuzifuata kufanikisha malengo yake kwa namna inayofaa. Tuanche kumbeza, kumkejeli, kumzodoa na mengine yanayofanana na hayo. Anguko katika maisha sio kwenye mitihani tu. Tubadilike, tuwe watu wakupeana matumaini na njia za kukabiliana na matatizo kwa wenzetu wanaokabilana na shida.

Haya basi... aende VETA!
 
sasa kama mzazi kashindwa kumsaidia/KUMSIMAMIA MWANAWE HADI KAPIGA DIV YA UKWELI UNAFIKIRI NCHI NDIO ATAIWEZA?direct proportional

Ye kama mzazi aliwajibika vilivyo,wala Mwanaasha hatamlaumu babake kwa kutomsimamia masuala ya shule..
We mwenyewe waijua ada ya FEZA,na wajua ufundishaji wake... Class moja haifiki wanafunzi 40! Imagine... Need the father say more?
 
Back
Top Bottom