Aidanna
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 1,616
- 2,389
Nyaubi bibi yakooo... Binti ni noumaaa.Usaidizi.
Nguo za mtoto zinatakiwa kufuliwa kila mara. At the same time anyonyeshe au ambembeleze, atahitajika kula kwa wakati na kupumzika.
Tafuta mtu wa kumsaidia hizo kazi.
Kukandwa.
Hili swala hua anafanyiwa na upande wa kwao kama ni yatima ujue hilo linatakiwa kuwepo.
Uwepo wako.
Mimi narudi nyumbani saa tano au sita. At that time narudi nakuta mtu anabembeleza mtoto huku anasinzia so I usually helped at night. Na kumvalisha pampers dogo.
Pia safari za kliniki. Akizaliwa baada ya siku saba mtarudi kliniki, nilidhani ni ishu ya saa moja ila ilichukua saa kumi.
Nyumba safi.
Kwakua umesema wote mko stable financially najua hili lishafanyika.
It's funny watching your kid grow. Binti yangu alizaliwa mwaka jana mwaka huu naweza hold naye convo, kuna jina halipendi now mpwa wangu akamuita 'Nyaubi' akajibu 'Nyaubi bibi yako'
I know siyo tabia nzuri but I laughed.
Mwambie namsalimia sanaa binti yetu