byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,066
- 951
mwanakwetu pole sana. Kuwa katika ndoa yenye matatizo kwa miaka kumi mfulilizo its not a joke!
Kwetu sisi Kirua dada akishaolewa kurudi nyumbani mwiko....so ingekuwa ni mimi nisisingeweza kumrudisha kwa wazazi wake na nikifanya hivyo hawatomlaza kamwe tena unasema ni karibu wangemleta hata kama saa nane za usiku kufind out what is wrong!
Yawezekana kwenu ni tofauti na kwetu lakini bottom line ni kuwa hao wazazi kama kama alivyo mtoto wao hawana busara hivyo kama unataka kumpata mshauri na msuluhishi mwema, undo....umepotea.
Mwanakwetu,
Nimekusoma na kuwasoma washauri wako nami natamani nikupe ushauri kidogo tu.
Kwanza, hujasema ndoa yako ni ya Kimila, kiserekali,Kiislam au Kikristo.
Sasa, mimi nakupa ushauri wa ndoa ya Kikristo kwani umekaa na huyu bidada miaka 10 bila kuvuta mchuma mwingine ndani. Hii inaonesha unamheshimu sana mkeo na hilo ni zuri.
Sasa, cha ajabu ni jinsi ulivyoamua sasa kutafuta ushauri kwa yeyote atakayekuhurumia. We, kumbuka, mkeo ni wewe wala si vinginevyo. Mi nimeoa na sasa ni 40yrs. Hajawahi kwenda kwao, ugomvi haukosekani, tena nataka kukufahamisha kwamba kule kwao mimi sithubutu hata kujilinganisha, wanacho. Lakini, alinipenda, ananipenda na tunapendana.
Tumesimamia masharti yetu, kwamba atamwacha baba na mama yake nami nitamwacha baba na mama yangu nasi tutaungana na kuwa mwili mmoja.
Tutagombana lakini hakuna mtu mwingine ataingilia kati ugomvi wetu. Tutaumaliza wenyewe. Mithali moja inasema; Ndugu wakigombana, inua jembe ukalime wakipatana chukua panga ukavune. Huo ndio ukweli wa mambo. Hakuna awezaye kukupatanisha na mkeo. Ni wewe mwenyewe na yeyetu. Mnaishi pamoja tena kwa amani na furaha kuliko jinsi ambavyo ungeishi na mama yako mzazi. Fikiri, ukiugua tumbo la kuhara, mkeo atakuosha tena bila hata kinyaa lakini mama atakuangalia vibaya tu.
Kosa lako kubwa ni kwamba umewatusi wakwe zako. Ati mpokeeni mwanenu mmfundishe adabu. We ndiyo huna adabu kabisaaa. Umekaa na mtoto wa watu 10 yrs leo umrudishe kwao. Umempa mshahara na kiinua mgongo ikiwa atashindwa kupata adabu huko aendelee na biashara yanke huko huko? Mbona tunakosa heshima hivi jamani? Je huyo bidada atakurudisha lini kwenu ukafunzwe adabu na wazazi wako weyeee?
Nakushauri, nenda kule kwa wakwe zako, kaombe radhi, chukua mzigo wako uurudishe mwenyewe nyumbani kama ulivyo utoa.
Kwani tatizo haswa la NDOA yenu ni nini mkuu? inawezekana hao wakwe zako hawana kosa kwa hayo maamuzi kutokana na kutojua tatizo la NDOA YENU kaka. Kaa chini tafakari kabla haujachukua hatua na kufanya maamuzi. Haswa Kama una watoto na huyo binti. Kila mtu atakupa ushauri hapa jamvini...lakini mwisho wa siku wewe ndio Mwenye ukweli wote uliokufanya umvumilie huyo Mkeo. Maana kumvumilia mtu kwa miaka kumi ya ndoa yenye matatizo sio mchezo kaka.Nilisubiri hata wanipigie kuniita badala yake wananitishia bila hata kujua tatizo lililotufikisha hapo? Hapo nalazimishwa kuishi na tatizo ambalo wao wangekuwa na hekima kidogo kama wazazi wangu solution ingekuwa simple. Wa kuonywa aonnywe na wakupewa pole apewe tuanze ukurasa mpya.
Mwanawakwetu, unanishangaza unaposema mkeo ameenda kwao, kwao ni wapi wakati ulisha mwoa! KWAO NI KULE KWA WAZAZI WAKO. HIVYO ALIKUWA SAHIHI KABISA KUKIMBILIA HUKO KWA SABABU HUKO NDIYO KWAO HALISI. INAVYOONEKANA UMEMCHOKA MKEO. UNGETAKA SULUHU NA MKEO UNGEMWITA MSHENGA ASULUHISHE, NAAMINI ASINGEELEMEA UPANDE WOWOTE. KUNA WATU WAMEKUSHAURI UTAFUTE BI MDOGO, LAKINI WASWAHILI WANASEMA " WEZA ZUNGUKA BUCHA ZOTE LAKNI NYAMA HUWA ILEILE" SULUHISHA NA MKEO USITAKE KUKUZA KUTOELEWANA. NADHANI MMEJALIWA KUPATA WATOTO. JE UKO TAYARI WATOTO WASILELEWE NA MAMA YAO? UCHUNGU WA MWANA WA KWELI ANAUJUA MAMA YAO!Ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja............!
ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja.
Siku mbili baada ya kufika kwao mama yake kaanza kulaani mimi(mume) kumpa binti yao masharti ya kuishi ktk ndoa na kusema ni marufuku mimi kumpa masharti binti yao. Kwa tone hiyo hiyo siku nne baadaye baba mkwe kanipigia simu kunitishia kwamba atamleta kwa nguvu binti yake huku mama yake akisema nisipofungua nyumba wakati wa kumleta watavunja mlango wamwinngize ndani.
Cha ajabu hawa wazazi wa binti hawajawahi niuliza tuna ugomvi gani, tometofautiana nini bali kunilaumu hata bila kunisikiliza. Hali hii inanifanya niamini kuwa ujeuri, ubabe na kiburi cha binti yao ambaye ni mke wangu kinakuzwa na hawa wazazi wake kwa kutokuwa rational.
Ndugu zangu wanachukulia huu kama udhalilishaji na vita isiyokuwa ya lazima ya ukoo na dharau kwa upande si wa ndugu zangu tu bali hata kwa mume wa binti yao.
Nisaidieni busara za ku react!!!!
Ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja.
Siku mbili baada ya kufika kwao Mama yake kaanza kulaani mimi(mume) kumpa binti yao masharti ya kuishi ktk ndoa na kusema ni marufuku mimi kumpa masharti binti yao. Kwa tone hiyo hiyo siku nne baadaye baba mkwe kanipigia simu KUNITISHIA KWAMBA atamleta KWA NGUVU BINTI YAKE huku mama yake akisema nisipofungua nyumba wakati wa kumleta WATAVUNJA MLANGO WAMWINNGIZE NDANI.
Cha ajabu hawa wazazi wa binti hawajawahi niuliza tuna ugomvi gani, tometofautiana nini bali kunilaumu hata bila kunisikiliza. Hali hii inanifanya niamini kuwa ujeuri, ubabe na kiburi cha binti yao ambaye ni mke wangu kinakuzwa na hawa wazazi wake kwa kutokuwa rational.
Ndugu zangu wanachukulia huu kama udhalilishaji na vita isiyokuwa ya lazima ya ukoo na dharau kwa upande si wa ndugu zangu tu bali hata kwa mume wa binti yao.
NISAIDIENI BUSARA ZA KU REACT!!!!
Na siku utakapohitaji kuoa hakuna atakayekutaka, maana utakuwa umekongoroka sana!Heri mimi sijaoa na kwa mwendo huu kuoa ntakusikia kwenye bomba tu.
Ya nini kutafuta karaha yote hii?
ni kweli huyu mkosa mada kwanza kaeleza ksi upande mmoja tu halafu anataka tumhukumu mke wake na wazazi wake bila kuwasikia au kueleza matatizo yao kwa kina..
nakubaliana na wewe kwa 100% kuwa huyu jamaa ndiye mwenye matatizo na sio mke wake, na huyo mwanamke anonysha ni mzuri na anaelewana hata na wakwe zake vizuri(wazazi wa mume) na dio mana kwa maelezo ya jamaa huyu mke huwa anakimbilia nyumbani kwa wakwe( wazazi wa mume). Na pia wazazi wa mume wasingemtetea kama kweli huyu binti angekuwa mkorofi kama mleta mada anavyotaka kutuaminisha.
Na ili kuthibitisha kuwa huyu binti ni msafi na huyu jamaa ndio mkorofi ndio maana wazazi wake yeye binti pamoja na wazazi wake yeye kijana wanamtetea. kwa vyovyote vile huyo kijana ndio mwenye matatizo na sio huyo binti. Kumbuka kuwa wazazi wako wwe na wazazi wake yeye wote ni watu wazima wenye busara zao. Haiwezekani wote kwa pamoja kwa nyakati tofauti wamtetee mke wako, ni lazima ww una matatizo.
Na pia kwa nini umlazimishe aende kwao wakati yeye huwa anakwenda kwenu? kwani wazazi si wale wale tu kama mtu ameamua kwenda kwenu kwa nini umzuie na umlazimishe aende kwao. Wewe ndio huna busara kabisa, yaani binti anajaribu kuficha aibu ya magomvi yenu kwa wazazi wake halafu ww unamlazimisha akawasimulie? Hivi ulifikiri wazazi wake wanamchukia binti yao kama wewe? We umepata mke mzuri ambaye anakufichia upuuzi wako kwa kutowaambia ndugu zake ili ndugu zake wasikuchukie. huyu mke anakupenda sana na hataki uonekane mbaya nyumbani kwao, halafu ww unalazimisha uonekane mbaya kwa wakwe? kichwa yako ina matatizo si bure
Na mwisho mambo ya kurudishana nyumbani yamepitwa na wakati, eti nirudi nyumbani nikafanye nini? kha tutabanana hapohapo..hapo sasa badala ya kusove ishu umeitapakaza na kuwa stori ya mtaa.....
Nilishawaeleza twice mara ya kwanza walielewa na kumwonya na mara ya pili pia
Heri mimi sijaoa na kwa mwendo huu kuoa ntakusikia kwenye bomba tu.
Ya nini kutafuta karaha yote hii?
Ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja.
Siku mbili baada ya kufika kwao Mama yake kaanza kulaani mimi(mume) kumpa binti yao masharti ya kuishi ktk ndoa na kusema ni marufuku mimi kumpa masharti binti yao. Kwa tone hiyo hiyo siku nne baadaye baba mkwe kanipigia simu KUNITISHIA KWAMBA atamleta KWA NGUVU BINTI YAKE huku mama yake akisema nisipofungua nyumba wakati wa kumleta WATAVUNJA MLANGO WAMWINNGIZE NDANI.
Cha ajabu hawa wazazi wa binti hawajawahi niuliza tuna ugomvi gani, tometofautiana nini bali kunilaumu hata bila kunisikiliza. Hali hii inanifanya niamini kuwa ujeuri, ubabe na kiburi cha binti yao ambaye ni mke wangu kinakuzwa na hawa wazazi wake kwa kutokuwa rational.
Ndugu zangu wanachukulia huu kama udhalilishaji na vita isiyokuwa ya lazima ya ukoo na dharau kwa upande si wa ndugu zangu tu bali hata kwa mume wa binti yao.
NISAIDIENI BUSARA ZA KU REACT!!!!
Yani umeshindwa kusolve ako katatizo mpka ulete uku??
Ni wiki imepita tangu nimrejeshe kwao wife kwa mara ya kwanza tangu tuoane miaka 10 iliyopita kutokana na kutozingatia makubaliano tunayowekeana kama couple na jeuri, ubabe pamoja na kiburi. Lengo la kumpeleka si kumfukuza bali ili wazazi wamhoji na kumshauri baada ya wazazi wangu kufanya kazi hiyo miaka zaidi ya 9. Wazazi wangu (mwanaume) wamekuwa kimbilio la mke wangu kwa zaidi ya miaka 9 hata pale mkosa anapokuwa ni yeye akiamini wao nitawasikiliza zaidi pale wanapoomba nimsamehe wife. Kwa upande mwingine hajawahi kimbilia kwao licha ya kuwa jirani na tunapoishi kwa kuona ndugu zake watamwona ameshindwa kuishi ktk ndoa. This time nimemwambia aende kwa wazazi wake na then tutaongea mambo yote pale baada ya wiki moja.
Siku mbili baada ya kufika kwao Mama yake kaanza kulaani mimi(mume) kumpa binti yao masharti ya kuishi ktk ndoa na kusema ni marufuku mimi kumpa masharti binti yao. Kwa tone hiyo hiyo siku nne baadaye baba mkwe kanipigia simu KUNITISHIA KWAMBA atamleta KWA NGUVU BINTI YAKE huku mama yake akisema nisipofungua nyumba wakati wa kumleta WATAVUNJA MLANGO WAMWINNGIZE NDANI.
Cha ajabu hawa wazazi wa binti hawajawahi niuliza tuna ugomvi gani, tometofautiana nini bali kunilaumu hata bila kunisikiliza. Hali hii inanifanya niamini kuwa ujeuri, ubabe na kiburi cha binti yao ambaye ni mke wangu kinakuzwa na hawa wazazi wake kwa kutokuwa rational.
Ndugu zangu wanachukulia huu kama udhalilishaji na vita isiyokuwa ya lazima ya ukoo na dharau kwa upande si wa ndugu zangu tu bali hata kwa mume wa binti yao.
NISAIDIENI BUSARA ZA KU REACT!!!!