Baba mkwe, mahari hii imenishinda

Huyu nilienae baba familia yake naskia ni wapenda hela balaa, hapa nilipo nishamtia mimba ya pili mpaka siku nikienda kwao kutaka kuoa nadhani watanipa hela mimi
Ahahahahahahahahhahah..
Mkuu nenda kwasikilize acha kusikilia ya watu.
Ww nan kakwambia wanapenda hela kwao??
Ahahah.
Vijana mna kazi sana.Nawawaza sana mabinti zangu wawil hawa itakuaje hiyo 20+ years to come
 
Same here..mzee mpaka leo hajamaliza mahari ya bi mkubwa[emoji23][emoji23]
 
Mi nimekuonea huruma hiyo gharama ya sherehe uliyoilipia.
Lakini mkuu ulikosea Sana.
Ilitakiwa uwape 10 aafu unawaambia nyingine unaenda kutafuta utaleta.
Hiyo ingewapa picha na mahari itakuwaje.!!
 
Pole mkuu kwa kwenda kuoa kwenye familia njaa kali. Alafu huo sio utaratibu kwa utamaduni wa Wachaga, mahari huwa inalipwa kidogo kidogo. Hiyo ni kukomoana tuu we tulia kama umeshatia mimba watapunguza wenyewe, huwezi amini inaweza kufika 1m tuu au chini ya hapo.
 
Kamanda, jambo LA msingi kama baadhi ya maoni ya wadau, wew wajulishe kiasi ulichokuwa nacho kwa Mara nyingine tena. Wakiendelea kukataa waambie nimeshindwa, then uone watachukua uamuzi gani. Usikimbie kimya kimya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] Jamani nimecheka asubuhi yote hiiii
Pole bi mdogo kwa kupaliwa
 
Wao ndio wenye dharau, mahari milioni 5!???
 
Dah! Huo mpunga ni mwingi mno, kuna mikoa katika hiyo situation unakopeshwa mke utalipa mbele mbele huko
 
Sawa sawa ila mimi sitalipa gharama ya sherehe siku ya kujadili mahari
Hakuna hiyo.. Wewe unaambiwa toa laki saba tu.... Yangu nne Tatu wapike wali kg 50 nyama kg 15 watu wale story imeisha
 
Hakuna hiyo.. Wewe unaambiwa toa laki saba tu.... Yangu nne Tatu wapike wali kg 50 nyama kg 15 watu wale story imeisha
kwa hiyo bi mkubwa ataambulia zero? hutompa hata kidogo?
Akija kulianzisha timbwi timbwili la Asha ngedere itakuwaje...
 
kwa hiyo bi mkubwa ataambulia zero? hutompa hata kidogo?
Akija kulianzisha timbwi timbwili la Asha ngedere itakuwaje...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sijui
 
Wachaga ni noma aisee eti rudisha garama ya kaubwabwa ulikokula,, mzee sina mengi sana ila pole kwa majanga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sijui
Naona unanyemelea cheo cha bwana afya wa porini[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…