Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,334
- 7,873
Kylian niamini mimi humu JF wengi ni wanafiki, ushauri wanaoutoa kwenye mada mbali mbali ni tofauti kabisa na ambavyo wange react wao ikiwa kama wao ndio wangekuwa kwenye situation husika.Bixente naona una mtazamo kama wangu.. kuna mmama wa JF huko juu kacomment kwamba ikiwezekna umuachie mali mwanamke we kaanze upya..huyu mmama anazeeka vibaya sana sijui kama angekua mtoto wake wa kiume angemshauri hivyo?
Uchungu wa kumsomesha tangu kindergaten Primary Secondary Chuo hadi uchungu wa mwanae kutafuta mali hausikii?
huyu mama hana mtoto kama anae basi kapata bahati mbaya.
Tena kama hao wanawake ndio wanafiki sana, naamini kabisa angekuwa kijana wake ndio yuko kwenye hii situation asingempa huo ushauri mwanae hata kidogo tena kuna uwezekano na yeye angeuvaa huo ugomvi hili kuhakikisha mali za mwanae haziondoki.
Jambo kama alikuhusu unalichukulia rahisi rahisi tu na hata ushauri unaoutoa unakuwaga ni rahisi rahisi tu.