KICHEKOMASIHARA
Member
- Oct 5, 2019
- 36
- 33
- Thread starter
- #61
Amina ndugu!
Pole ndugu yangu, maisha haya in hatari! Kama we ni mkristo kumbuka ile hadithi ya yule mwana aliyetaka sehemu ya Mali toka kwa baba yake ili akajitegemee kwa tamaa zake! Si unakumbuka kilichomkuta? Funzo, siku zote Mali za dhuruma huwa hazidumu kwa hilo halina mjadala. Kwakuwa hali imeshafikia pabaya kiasi cha kutishia hadi uhai wako, fanya kutoa talaka mpe sehemu ya Mali anayohitaji muachane kwa amani! Kama walivyo kwisha sema wadau wengine hapo juu haitachukua miaka miwili majibu atayapata huyo mwanamke!! Mungu huwa hachezewi hasa katika viapo vya ndoa. Narudia tena pole sana, Fanya maamuzi ya busara vinginevyo itakucost Mali utatafuta kam ulivyotafuta awali.