Baba mkwe anataka nimpe talaka mwanaye ili tugawe mali. Mama mkwe anaenda kwa waganga aniue ili mwanaye arithi mali zangu

Hapo hamna solution,lengo lao ni mali,na ukizubaa watakuua kweli,sasa cha kufanya,chukua mkopo bank mkubwa tu,mali yako iwe collateral,fungua account ya siri bank zisunde huko hizo fedha,
hakikisha unashindwa kurejesha mkopo bank waje wapige bei,
rudi kupanga chumba kimoja,bedsitter ,maisha yaanze from zero ,atakimbia mwenyewe na matusi juu utayaoga ,wahi sasa wakati bado umezaa nae mtoto mmoja family ikiongezeka itakuwa ngumu
 
Mzee take care sana,mbinu zote ziki feli inakuja man to man, door to door utagongewa usiku wa manane waje waondoke nawewe,au subiri gunia mbili za mkaa.
 
Ndio maana wanasemaga kosea vyote lakini usikosee wa kuoa/kuolewa nae,mjifunze kufatilia kwa undani family anayotokea mume/mke kwanza kabla hujafanya maamuzi ya ndoa

Pole sana
Mkuu kauli hiyo inasema Fanya vyote usikosee kuoa,hiyo ya kuolewa haipo sababu siku zote anayevunja ndoa in mwanamke
 
Ndio maana wanasemaga kosea vyote lakini usikosee wa kuoa/kuolewa nae,mjifunze kufatilia kwa undani family anayotokea mume/mke kwanza kabla hujafanya maamuzi ya ndoa

Pole sana
Mkuu kauli hiyo inasema Fanya vyote usikosee kuoa,hiyo ya kuolewa haipo sababu siku zote anayevunja ndoa in mwanamke
 
Nashukuru kwa michango yenu.
FB_IMG_15704206617365010.jpeg
 
Kiufupi nimeoa mwaka 2017 na tumejaaliwa mtoto mmoja, ila kuanzia mwezi wa 12 mwaka jana nimekuwa katika hali ngumu na mke wangu katika ndoa, amekuwa hanisikii mimi kama mmewe kila kitu anaendeshwa na wazazi wake .

Sasa imefikia baba yake kumuambia adai talaka arudi nyumbani, nilipojua hiyo njama nikawahusisha wazee wa pande zote mbili ,ila kule kwao wakakataa kuhusika, siku sio chache mke wangu akanishitaki kwenye baraza la wazee kuwa anataka haki yake amechoka kuishi na mimi. Nikaitwa kwenye kikao cha wajumbe, akaulizwa aseme shida yake nini , akajibu kuwa anataka tugawe mali zote kila mtu ajue maisha yake, akaulizwa hizo mali mmechuma na mmeo au ulizikuta? Akajibu nimezikuta.

Akaulizwa ni mali gani mmechuma na mmeo tokea mmeoana? Akajibu hatukacha mali yoyote. Wajumbe wakamjibu kuwa kulingana na alikuta hizo mali zote basi hizo mali hazikuhusu.

Tokea hapo alibadili upepo akawa mtulivu hata ile hali ikaisha, sasa kumbe ile hali ilibadilishwa upepo na kuelekezwa kwa ushirikina, ushahidi niliupata kutoka kwa mtu wa karibu na mama mkwe wangu( mama wa mke wangu) kuwa mama mkwe wako anakuendea kwa waganga akuue mwanae arithi hizo mali.

Sasa kwa haya mafupi naombeni maoni na ushauri.

Nawasilisha!
Hapo huna mke.
 
Hapo hakuna ushauri zaidi ya kwamba piga chini huyo mwanamke,
Maandiko yanasema Mwanamke mpumbafu ataivunja ndoa yake kwa mikono yake yeye mwenyewe.
"KIFO"sio kitu cha kuchezea ata kidogo hakuna mbadala wa uhai mimi mtu akinitishia kuniua tu ni mistake lazima nimuanze yeye kwanza kabla hajanifikia na hiyo ndio destiny yangu.
Zero IQ unajua mimi nakufatiliaga sana mkuu, nimefurahi kuona andika la busara namna hii, vipi umeshatoa mahari?
 
Mbona Rahisi mke hana mali hapo wewe unasubiri paka wakuuwe, mtie talaka fasta kama ni mtoto atakua tuu kivyovyote, huyo mwanamke hapo hakupendi, amekaa kimaslai yeye pamoja na familia yake
Hapaswi yeye kumpa talaka. Mwanamke aiombe mwenyewe na ataulizwa sababu. Talaka hutolewa mahakamani hivyo yeye asijiangaishe unless walioana kiislam. Akiitoa atalazimishwa wagawane mali.
 
Kiufupi nimeoa mwaka 2017 na tumejaaliwa mtoto mmoja, ila kuanzia mwezi wa 12 mwaka jana nimekuwa katika hali ngumu na mke wangu katika ndoa, amekuwa hanisikii mimi kama mmewe kila kitu anaendeshwa na wazazi wake .

Sasa imefikia baba yake kumuambia adai talaka arudi nyumbani, nilipojua hiyo njama nikawahusisha wazee wa pande zote mbili ,ila kule kwao wakakataa kuhusika, siku sio chache mke wangu akanishitaki kwenye baraza la wazee kuwa anataka haki yake amechoka kuishi na mimi. Nikaitwa kwenye kikao cha wajumbe, akaulizwa aseme shida yake nini , akajibu kuwa anataka tugawe mali zote kila mtu ajue maisha yake, akaulizwa hizo mali mmechuma na mmeo au ulizikuta? Akajibu nimezikuta.

Akaulizwa ni mali gani mmechuma na mmeo tokea mmeoana? Akajibu hatukacha mali yoyote. Wajumbe wakamjibu kuwa kulingana na alikuta hizo mali zote basi hizo mali hazikuhusu.

Tokea hapo alibadili upepo akawa mtulivu hata ile hali ikaisha, sasa kumbe ile hali ilibadilishwa upepo na kuelekezwa kwa ushirikina, ushahidi niliupata kutoka kwa mtu wa karibu na mama mkwe wangu( mama wa mke wangu) kuwa mama mkwe wako anakuendea kwa waganga akuue mwanae arithi hizo mali.

Sasa kwa haya mafupi naombeni maoni na ushauri.

Nawasilisha!
Dah inabidi umpate mtalam akukinge
 
Na ww nenda kwa waganga hasa wa Sumbawanga,Kigoma,Pemba,Tanga nk
Achana na wale wa kwenye matangazo ya kwenye nguzo za umeme.
Kajizatiti na hii vita,usile chakula anachopika mkeo usilale chumba kimoja na mkeo
Hapa ni mwendo wa mikausho mikali
Nenda na mchepuko hadi nyumbani
NB Fanya haya kwa kinyume chake
 
Kiufupi nimeoa mwaka 2017 na tumejaaliwa mtoto mmoja, ila kuanzia mwezi wa 12 mwaka jana nimekuwa katika hali ngumu na mke wangu katika ndoa, amekuwa hanisikii mimi kama mmewe kila kitu anaendeshwa na wazazi wake .

Sasa imefikia baba yake kumuambia adai talaka arudi nyumbani, nilipojua hiyo njama nikawahusisha wazee wa pande zote mbili ,ila kule kwao wakakataa kuhusika, siku sio chache mke wangu akanishitaki kwenye baraza la wazee kuwa anataka haki yake amechoka kuishi na mimi. Nikaitwa kwenye kikao cha wajumbe, akaulizwa aseme shida yake nini , akajibu kuwa anataka tugawe mali zote kila mtu ajue maisha yake, akaulizwa hizo mali mmechuma na mmeo au ulizikuta? Akajibu nimezikuta.

Akaulizwa ni mali gani mmechuma na mmeo tokea mmeoana? Akajibu hatukacha mali yoyote. Wajumbe wakamjibu kuwa kulingana na alikuta hizo mali zote basi hizo mali hazikuhusu.

Tokea hapo alibadili upepo akawa mtulivu hata ile hali ikaisha, sasa kumbe ile hali ilibadilishwa upepo na kuelekezwa kwa ushirikina, ushahidi niliupata kutoka kwa mtu wa karibu na mama mkwe wangu( mama wa mke wangu) kuwa mama mkwe wako anakuendea kwa waganga akuue mwanae arithi hizo mali.

Sasa kwa haya mafupi naombeni maoni na ushauri.

Nawasilisha!
KAA MBALI NA MWANAMKE MCHAWI. JIONGEZE HAPO KABLA YA KUFANYA MAAMUZI
 
Naomba kupata mjuzi wa kuandika TALAKA anisaidie FORMAT yake, nimeamua kufanya maamuzi magum

Asanteni, ukishindwabkuandika hapa nitumie whsp 0755102030 au pm.
 
Pili sikubaliani na hawa wanaosema eti umpe mali huyo mwanamke kisha ukaanze upyaa!! Haloo hakuna udhaifu mkubwa na wa kifala kama huu.. Kufanya hivyo ni kuidhurumu nafsi yako pakubwa sana, yaani mali ambazo umezivujia jasho na damu kwa miaka yote hiyo halafu leo hii zije kukwapuliwa na kahaba tu fulani ambaye hajui hata umezipataje eti unaepusha shari na kulinda usalama wako!!?

Bixente naona una mtazamo kama wangu.. kuna mmama wa JF huko juu kacomment kwamba ikiwezekna umuachie mali mwanamke we kaanze upya..huyu mmama anazeeka vibaya sana sijui kama angekua mtoto wake wa kiume angemshauri hivyo?

Uchungu wa kumsomesha tangu kindergaten Primary Secondary Chuo hadi uchungu wa mwanae kutafuta mali hausikii?

huyu mama hana mtoto kama anae basi kapata bahati mbaya.
 
Hapo hamna solution,lengo lao ni mali,na ukizubaa watakuua kweli,sasa cha kufanya,chukua mkopo bank mkubwa tu,mali yako iwe collateral,fungua account ya siri bank zisunde huko hizo fedha,
hakikisha unashindwa kurejesha mkopo bank waje wapige bei,
rudi kupanga chumba kimoja,bedsitter ,maisha yaanze from zero ,atakimbia mwenyewe na matusi juu utayaoga ,wahi sasa wakati bado umezaa nae mtoto mmoja family ikiongezeka itakuwa ngumu
hiki wazo la kuweka nyumba rehani nimelikubali.. ila mkopo akajenge nyumba nyingine kimyakimya asilewee pombe.
 
Back
Top Bottom