Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,229
Hapo hamna solution,lengo lao ni mali,na ukizubaa watakuua kweli,sasa cha kufanya,chukua mkopo bank mkubwa tu,mali yako iwe collateral,fungua account ya siri bank zisunde huko hizo fedha,
hakikisha unashindwa kurejesha mkopo bank waje wapige bei,
rudi kupanga chumba kimoja,bedsitter ,maisha yaanze from zero ,atakimbia mwenyewe na matusi juu utayaoga ,wahi sasa wakati bado umezaa nae mtoto mmoja family ikiongezeka itakuwa ngumu
hakikisha unashindwa kurejesha mkopo bank waje wapige bei,
rudi kupanga chumba kimoja,bedsitter ,maisha yaanze from zero ,atakimbia mwenyewe na matusi juu utayaoga ,wahi sasa wakati bado umezaa nae mtoto mmoja family ikiongezeka itakuwa ngumu