Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma ,jini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Clayton Chipando Maarufu Baba Levo akizungumza Oktoba 19, 2025 kwenye mkutano wa kampeni na wananchi wa Businde namna Mchakato wa yeye kuchaguliwa kuwa Mgombea wa Jimbo hilo kutokana na kiwango chake cha Elimu licha ya viongozi wengine waliopita na walikuwa wasomi hawakuwasaidia wananchi
Soma pia GE2025 - Baba Levo: Niacheni nikafanye uchawa lakini Kigoma ipate Maendeleo
"Kigoma iliongozwa na wasimo wengi lakini wameshindwa kuisadia kuleta maendeleo ndio maana sasa hivi tumemua kwenda wenyewe bungeni kujitetea" - amesema Baba Levo
Soma pia GE2025 - Baba Levo: Niacheni nikafanye uchawa lakini Kigoma ipate Maendeleo
"Kigoma iliongozwa na wasimo wengi lakini wameshindwa kuisadia kuleta maendeleo ndio maana sasa hivi tumemua kwenda wenyewe bungeni kujitetea" - amesema Baba Levo