Ingekuwa CV ya elimu kubwa ndio inakupa ubunge. Walioishia Darasa la saba Kina Msukuma, shigongo,babu tale, tajiri kishimba wasingekuwepo bungeni.
Pia hata mama samia na division four yake hasingeupata urais.. bali u rais wangepewa ma professor na A zao za masomo yote
Uzuri Life ina rewards watu wa aina zote, hata ambao hawajasoma sana wapo ambao wanafanikiwa sana