Kwani wewe akili za wapinzani unazionaje?Mimi nayaheshimu maoni yako lakini sikubaliani nayo.Corona ni kama wapinzani ni kauli ya ajabu saana....Nape wetu kwa vile kesha omba na kasemehewa,arudishwe asap
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumchukua lowassa watu wamedeki barabara,halafu karudi ccm akiwaacha doofu l hali,kuliko alivyowakuta