mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
south afrika.
Mtoto alidakwa na polisi ndio ikawa pona yake.
mzazi alifanya hayo kuonyesha kutoridhishwa na kubomolewa makaz.i
Kuna uhusiano gani kati ya kubomolewa nyumba Na kumvurumisha mtoto?
south afrika.
Mtoto alidakwa na polisi ndio ikawa pona yake.
mzazi alifanya hayo kuonyesha kutoridhishwa na kubomolewa makaz.i
Ukibomolewa nyumba ndio utupe mtoto kutoka juu ya paa?Noma sana.
Africa kila sehemu hakuna penye haki ukija bongo ndio balaa barabara inaonekana live inataka kuwafuata wananchi ila wananchi ndiyo wanaambiwa wameifuata barabara hivyo lazma nyumba zibomolewe na cent tano mbovu hawapewi pia hata kakiwanja 20×20 hawapewi.
Halafu wakati huo huo mkuu wa wote anasogea mkoa mwingine anatangaza neema kwa wanaoonekana the same na pale pa mwanzo akiwapa onyo wale aliowateuwa kwamba hawa msiwabomolee coz ndiyo walionifanya nikawa hivi.inasikitisha sana,hata hao weupe wakituita manyani tusishangae maana in reality wengi wetu hatupo sawa vichwani tukianza na hao wanaotuongoza.
Si ni heri angejirusha yeye mwenyewe!Kuna uhusiano gani kati ya kubomolewa nyumba Na kumvurumisha mtoto?
Hivi hili ni Pepo chafu, Bangi, laana au ni kichaa? Naomba jawabu sahihi tafadhali
Jamaa ana roho ya CCM.Si ni heri angejirusha yeye mwenyewe!
mtoto alikuwa kama ngao, ili ubomoaji usifanyike.Kuna uhusiano gani kati ya kubomolewa nyumba Na kumvurumisha mtoto?
Hivi hili ni Pepo chafu, Bangi, laana au ni kichaa? Naomba jawabu sahihi tafadhali
Wala haina uhusianoNoma sana.
Africa kila sehemu hakuna penye haki ukija bongo ndio balaa barabara inaonekana live inataka kuwafuata wananchi ila wananchi ndiyo wanaambiwa wameifuata barabara hivyo lazma nyumba zibomolewe na cent tano mbovu hawapewi pia hata kakiwanja 20×20 hawapewi.
Halafu wakati huo huo mkuu wa wote anasogea mkoa mwingine anatangaza neema kwa wanaoonekana the same na pale pa mwanzo akiwapa onyo wale aliowateuwa kwamba hawa msiwabomolee coz ndiyo walionifanya nikawa hivi.inasikitisha sana,hata hao weupe wakituita manyani tusishangae maana in reality wengi wetu hatupo sawa vichwani tukianza na hao wanaotuongoza.
inaonekana kuna zoezi lilikuwa linaendelea. yeye anatishia wasipoacha atamtupa. alipoona anakaribiwa akaona afanye kweli.kama alikua anadhamira hio kwann asingefanya mwenyewe tu hadi amsubiri polisi ndipo atekeleze dhamira yake