Baba adaiwa kuua mwanaye wa miezi 5

Baba adaiwa kuua mwanaye wa miezi 5

Huyo mama ni mpumbavu na lofa kbs, how can a father kill a child na yeye akiwepo hapo asimnyakue mtoto na kukimbia nae? RIP poor child..


Kwanini kwenye kila makosa (ya kishenzi) ya jinsia ya kiume mnalazimisha na wanawake wawepo?

Kosa la mke hapo ni lipi? Ukute huyo dogo alikua amekunywa kisungura akajiona jabali.
 
Mtoto mchanga wa miezi mitano 5, Leonard Kubilu anadaiwa kuuawa na baba yake mzazi, Kubilu Mayege (20) ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Mtaa wa Kilimahewa mamlaka ya Mji Mdogo Katoro, Wilayani Geita baada ya kumpiga sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia mkanda wa suruali na kiatu na kisha kumrusha kwenye kochi, hali iliyopelekea jeraha kichwani.

Inadaiwa baba huyo alikasirika na kushusha kipigo kwa mama na mtoto baada ya mtoto huyo kuanza kulia majira ya saa tano usiku.

Yani kumbe watu mliosema Geita wanawajibu Njombe si mda .. it was serious..!!
 
Kijana wa kiume wa miaka 20 unaanzaje kuwa na mtoto! Tatizo limeanzia hapa. Huu siyo umri kwa kijana wa dunia ya sasa kuwa na familia.


Uko sahihi.

Lakini Kama umetembea maeneo mengi nchini JMT kwa sasa utagundua kwamba hii ndio kawaida mpya kwa sasa.

Watoto wadogo sana wanaanza kujihusisha/kuhusishwa na ngono zembe na jamii tupo tunashangilia.
 
Ndio shida ya watoto kupata watoto halafu kuwalea bila uangalizi wa wazazi wao na huku wao wakiwa hawana experience yoyote.
Kuna watoto walikuwa wanaume kabla ya umri huo hapo.

Kuna rafiki hata siku za nyuma nilishasemaga hapa ana miaka 17 yupo kariakoo anapambana yule dogo ana Mke na mtoto kitaa kimemlea na anaufahamu mtaa.

Huyo atakuwa stress za kazini huko migodini au ni masuala ya ushirikina.
 
Kwanini kwenye kila makosa (ya kishenzi) ya jinsia ya kiume mnalazimisha na wanawake wawepo?

Kosa la mke hapo ni lipi? Ukute huyo dogo alikua amekunywa kisungura akajiona jabali.
Kwa hiyo huyo mke hakuona huyo mtu keshakuwa kichaa afanye jambo kuokoa uhai wa mtoto?
 
Tatizo la Afya ya akili lipo jamani, mtoto wa miezi 5 anampiga hivo, R.I.P mtoto

Mama mtoto angepiga hata kelele za kuita majirani huenda angepona
 
Back
Top Bottom