Baba adaiwa kuua mwanaye wa miezi 5

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,115
Mtoto mchanga wa miezi mitano 5, Leonard Kubilu anadaiwa kuuawa na baba yake mzazi, Kubilu Mayege (20) ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Mtaa wa Kilimahewa mamlaka ya Mji Mdogo Katoro, Wilayani Geita baada ya kumpiga sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia mkanda wa suruali na kiatu na kisha kumrusha kwenye kochi, hali iliyopelekea jeraha kichwani.

Inadaiwa baba huyo alikasirika na kushusha kipigo kwa mama na mtoto baada ya mtoto huyo kuanza kulia majira ya saa tano usiku.


 
Mtoto mchanga wa miezi mitano 5, Leonard Kubilu anadaiwa kuuawa na baba yake mzazi, Kubilu Mayege (20) ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Mtaa wa Kilimahewa mamlaka ya Mji Mdogo Katoro, Wilayani Geita baada ya kumpiga sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia mkanda wa suruali na kiatu na kisha kumrusha kwenye kochi, hali iliyopelekea jeraha kichwani.

Inadaiwa baba huyo alikasirika na kushusha kipigo kwa mama na mtoto baada ya mtoto huyo kuanza kulia majira ya saa tano usiku.

Wachimvaji wadogo.....ni shida makafara
 
Mtoto mchanga wa miezi mitano 5, Leonard Kubilu anadaiwa kuuawa na baba yake mzazi, Kubilu Mayege (20) ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Mtaa wa Kilimahewa mamlaka ya Mji Mdogo Katoro, Wilayani Geita baada ya kumpiga sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia mkanda wa suruali na kiatu na kisha kumrusha kwenye kochi, hali iliyopelekea jeraha kichwani.

Inadaiwa baba huyo alikasirika na kushusha kipigo kwa mama na mtoto baada ya mtoto huyo kuanza kulia majira ya saa tano usiku.

"Kizazi cha nyoka" dunia ipo nyakati ambazo twapaswa kuishi kwa kutoaminiana hata kwa 0.0001% yani "kimachale machale".

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom