Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,115
Mtoto mchanga wa miezi mitano 5, Leonard Kubilu anadaiwa kuuawa na baba yake mzazi, Kubilu Mayege (20) ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Mtaa wa Kilimahewa mamlaka ya Mji Mdogo Katoro, Wilayani Geita baada ya kumpiga sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia mkanda wa suruali na kiatu na kisha kumrusha kwenye kochi, hali iliyopelekea jeraha kichwani.
Inadaiwa baba huyo alikasirika na kushusha kipigo kwa mama na mtoto baada ya mtoto huyo kuanza kulia majira ya saa tano usiku.
Inadaiwa baba huyo alikasirika na kushusha kipigo kwa mama na mtoto baada ya mtoto huyo kuanza kulia majira ya saa tano usiku.