Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,862
Mara hawamo kwenye hiki kinyang'anyiro kweli?Geita,Katavi na Njombe nimewainulia mikono
Mara hawamo kwenye hiki kinyang'anyiro kweli?Geita,Katavi na Njombe nimewainulia mikono
Exactly, huyo mama ahusishwe kwenye mauaji hayo ya mtotoTatizo la Afya ya akili lipo jamani, mtoto wa miezi 5 anampiga hivo, R.I.P mtoto
Mama mtoto angepiga hata kelele za kuita majirani huenda angepona
Maana alivyoona anampiga isivyo kawaida, fasta angeomba msaada kwa majiraniExactly, huyo mama ahusishwe kwenye mauaji hayo ya mtoto
Hapo juu mie nilipendekeza angekwapua mtoto na kukimbia nae, inaumaje kuona mtoto mchanga anapigwa mikanda na wewe unaangalia kama mama eti hauna cha kufanya, its obvious mpigaji alikuwa tayari ameingiwa na kichaa so altenative ilikuwa kukwapua mtoto na kukimbia au kupiga kelele za kuomba msaadaMaana alivyoona anampiga isivyo kawaida, fasta angeomba msaada kwa majirani
Bila kusahau ChugaGeita vs Njombe
Ukute alikuwa anakula MBUSUSU afu mtoto akaharibu🤣🤣🤣Mwamba hataki makelele ya mtoto 🤣🤣 huyo wamkimbize Mirembe chap kwa haraka
Hao wazazi wawili watakua na shida zao, zikahamia kwa mtoto, inasikitisha sana...
Siku hizi umri wa mtoto umepanda kutoka miaka 17 hadi 20?mtoto kaua mtoto
Kuna vijana wa miaka 19 hadi 23 wanamiliki uchumi unaoeleweka na wanahudumia hadi familia zao wakiwemo ndugu na wazazi.mtoto kaua mtoto
Miaka 20 ni mtoto?Mtoto kazaa mtoto ndio matatizo hayo.
KabisaNaye kwisha habari yake...
Awe mzima wa akili au mbovu,
Akafie mbele, matatizo ya akili nayo sio ya kuendekeza.
Bila shaka na wewe uko kwenye umri huo, na ndiyo maana umeniuliza haya maswali yako ya kipuuzi/kitoto.sababu unazotoa ni zipi? Maana umeongea maneno matupu tu.
Umri gani unapaswa kuwa na mtoto?
Nafikiri wewe ni mpuuzi mkubwa kuwahi kutokea.Bila shaka na wewe uko kwenye umri huo, na ndiyo maana umeniuliza haya maswali yako ya kipuuzi/kitoto.
Naona umeanza kuwashwa sasa, na hivyo umeamua kuniimbia na taarabu kabisa. Jikite kwenye mada. Acha kulazimisha kuwazoea watu usiowafamu.Nafikiri wewe ni mpuuzi mkubwa kuwahi kutokea.
Umri kisheria wa mwanaume kuoa ni upi? Kama mwanaume huyo alikuwa tayari yupo kubeba majukumu nini kinasababisha asioe?
Sheria inatambua umri miaka 18 ni mtu mzima ila mpumbavu wewe huna ulichoandika zaidi ya kuonyesha upumbavu mwingi ulionao.
Kukataa kwako kuoa sababu ya kukimbia majukumu au stori acha wanaume waoe wewe tulia.