Baadhi ya Watanzania waishio nje ya nchi ni wazito linapokuja suala la Mageuzi ya Tanzania

Kijana kwanza marahaba, habari ya kigamboni?!!
Baada ya salamu naomba kuchanachana bandiko lako vipande vipande , wakati tuandelea kwenye main post yako tunaomba weka tafsiri ya mabadiliko ili wote tuwe pape moja

@Yericko Nyerere Nikiwa miongoni mwa Watanzania waumini wa mageuzi, nimekuwa nikistaajabu kuwaona "baadhi" ya Watanzania wenzetu waishio nje ya Tanzania wakisita sana kuyapokea mageuzi tunayoyahitaji kwa udi na umvumba Watanzania sisi hasa hiki kizazi cha tatu!

Huu ni mtazamo wangu, na ninaweza kutofautia na wengi katika hili, lakini kutofautia kwa hoja katika jambo lolote linalokusanya malenga wa wili ni turufu muhimu kwao.

Yapo mambo mengi ambayo mimi nimeyaona ni sehemu ya sababu za Watanzania hawa kuwa nyuma katika matakwa ya kimageuzi,

Naomba tafsiri yako ya mageuzi, japo nitaendelea na mada

Kwanza kabisa Watanzania tukubali kuwa silika nikikwazo kikubwa cha mwanadamu kubadilika, na wenzetu hawa bado silika imewaandama vya kutosha!

Kubadilika kufanya nini ? kivipi kiuchumi au kisiasa? na kama kubadilika unalenga kisiasa, je una maana kuwa upinzani ndio mabadiliko yenyewe au hata ukiwa chama kama ccm lakini ukasimama imara nayo ni mabadiliko?

Pili Watanzania hawa wanaathiriwa na ubora mimi, hii ni tabia iliyojijenga kwa kizazi cha kiafrika na hususani Tanzania watu kudharauliana, mtu akifika Ulaya basi yeye sasa anajua kila kitu na hawezi jifunza chochote kwa mie Mnyalukolo aliyeniacha Nyololo,
Hii ni issue ya mtu na mtu, kuna kipindi kulikuwa na tuhuma kwamba watanzania wakisoma wanakimbia vijiji walivyotoka mpaka utambilisho wao wanageuzi, ukimuuliza mtu kwenu wapi anakuambia Dar kumbi katokeoa Nyakato au mjinikuti.

Hivyo hata hizi harakati za mageuzi tunazoziendesha hapa Tanzania kuna Watanzania wengingine huko Ughaibuni wanatuona ni wapuuzi tu liliokosa darasa na mwangaza,
toa ushiwishi zaidi kwenye ili, umefikiaje kwenye hiyo hitimisho

Tatu, Watanzania wengi asili ya uwepo wao nje ya nchi upo mikononi mwa serikali na chama tawala, hivyo mahubiri ya mageuzi yoyote kwao ni kelele tu,
Short and clear sio KWELI, watu wengi walioko nje hasa kwa sasa, ni private funded yaweza kuwa familia, mashirika, NGOs etc etc lakini waliochini ya ughamini wa serikali ni kama hakuna kabisa, labda useme ni nchi gani ili twenda kwa data za ndani zaidi, yawezekana source yako aishabihiani na ukweli.

Tano, Balozi zetu huko duniani zinaendesha shughuli zao kwa asili ileile ya mfumo wa chama kimoja, hili linahitaji mageuzi makubwa ili balozi zetu zikubali kukabiliana na fikra mpya za vijana wetu huko waliko!

Hayo ni machache ambayo mimi nimeyaona nisababu za msingi,

again ili ni suala la nchi na nchi, kuna watu wanaishi nje lakini awajui hata balozi za Tanzania ziko wapi maana ni option kwenda ubalozi, unapokuwa nje ya nchi balozi ana msaada mdogo sana huo ndio ukweli, hakuna influence ya kisiasa na kama ipo ni chini sana [ again nchi na nchi]

MWISHO:
Ni ngumu sana kupata hitimisho moja juu ya mitazamo ya watanzania wote waliopo nje ya nchi bila kuwachambua kulingana na maeneo wanayoishi [nchi na nchi], hata kwa Tanzania hapo ni ngumu pia, mfano Arusha CDM wako juu kisiasa, lakini ukienda DSM sio kama ilivyo kwa Arusha, sio kama DODOMA, na SIO KWAMA RUVUMA na Sio kama Zanzibar.
Mkuu naona unajaribu kubaka fikra za hao watanzania au unawasukuma wawe sympathetic kwamba wanachelesha badiliko/mageuzi bila kuyasema ni mabadiliko/mageuzi gani?
 
Mnaongelea mageuzi yepi zaidi ya mageuzi yanayoendelea kufanyika kila kukicha?

Tumetoka kwenye lindi la umaskini alilotuwachia Nyerere na tuko kwenye mageuzi makubwa ya kuwa mabepari wa uhakika.

Hivi mageuzi yepi> mnataka watu wauwane ndio mjuwe kuna mageuzi? hayo mageuzi yatasaidia nini zaidi ya tunavyoenda sasa?

Mageuzi yanayotakiwa ni Watanzania wajitume waache kulalamika kutaka kufanyiwa. Nani akufanyie kama wewe mwenyewe huwezi?
Bibie,'
Tunazungumzia mageuzi ambako viongozi kama Kikwete na familia yake hawatatajirika haraka haraka kwa migongo ya Watanzania wakati hospitali zetu wanawake wanazalia kwenye sakafu. Tunazungimzia mageuzi ambako maliasili zetu na raslimali zitanufaisha walio wengi na si kikundi kidogo tu cha walaghai wanaojiita watawala. Tunazungumzia mageuzi ambako kila Mtanzania atajisikia fahari kuwa nchini kwake na si kupigwa mateke na ardhi yake kuchukuliwa na kupewa mzungu kwa visingizio vya uwekezaji. Tunazungumzia mageuzi ambako hata kama ni ubepari utakuwa ni ubepari wa Kitanzania na si Mzungu aonekane mwenye thamani na mwenye uwezo kuliko walio na nchi. Tunazungumzia mageuzi ambako shule zetu zitakuwa na waalimu wanaolipwa vizuri na vitabu tulivyonunua wenyewe kwa fedha yetu inayotokana na maliasili zetu na si vitabu ambavyo Kikwete ametuombea kutoka kwa Obama. Tunazungumzia mageuzi ambako tutaweza kugharimia asilimia 100% ya matumizi yetu kwa jasho letu na si kutegemea wafadhili na rais anayetembea ulimwengu mzima akitembeza bakuli. Tunazungumzia mageuzi ambako kila Mtanzania atakuwa na fahari ya kujiona Mtanzania na nchi yetu ikiheshimika kimataifa kama ilivyokuwa enzi za baba yetu wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
 
Bibie,'
Tunazungumzia mageuzi ambako viongozi kama Kikwete na familia yake hawatatajirika haraka haraka kwa migongo ya Watanzania wakati hospitali zetu wanawake wanazalia kwenye sakafu. Tunazungimzia mageuzi ambako maliasili zetu na raslimali zitanufaisha walio wengi na si kikundi kidogo tu cha walaghai wanaojiita watawala. Tunazungumzia mageuzi ambako kila Mtanzania atajisikia fahari kuwa nchini kwake na si kupigwa mateke na ardhi yake kuchukuliwa na kupewa mzungu kwa visingizio vya uwekezaji. Tunazungumzia mageuzi ambako hata kama ni ubepari utakuwa ni ubepari wa Kitanzania na si Mzungu aonekane mwenye thamani na mwenye uwezo kuliko walio na nchi. Tunazungumzia mageuzi ambako shule zetu zitakuwa na waalimu wanaolipwa vizuri na vitabu tulivyonunua wenyewe kwa fedha yetu inayotokana na maliasili zetu na si vitabu ambavyo Kikwete ametuombea kutoka kwa Obama. Tunazungumzia mageuzi ambako tutaweza kugharimia asilimia 100% ya matumizi yetu kwa jasho letu na si kutegemea wafadhili na rais anayetembea ulimwengu mzima akitembeza bakuli. Tunazungumzia mageuzi ambako kila Mtanzania atakuwa na fahari ya kujiona Mtanzania na nchi yetu ikiheshimika kimataifa kama ilivyokuwa enzi za baba yetu wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Si tunapiga kura kila miaka 5 kufanya mageuzi ya uongozi. Mbona hamueleweki nyinyi?

Kuna wakati Tanzania inaheshimika nje zaidi ya sasa? Marais wote wakubwa wa dunia wanamiminika wakipigana vikumbo.
 
Si tunapiga kura kila miaka 5 kufanya mageuzi ya uongozi. Mbona hamueleweki nyinyi?

Kuna wakati Tanzania inaheshimika nje zaidi ya sasa? Marais wote wakubwa wa dunia wanamiminika wakipigana vikumbo.

Wanajua kama hawawezi kukamata nchi kwa njia za halali za upigaji wa kura. Ndiyo maana hawayatambui kama haya ni mageuzi na sasa wanatumia michupa ya tindikali.
 
Si tunapiga kura kila miaka 5 kufanya mageuzi ya uongozi. Mbona hamueleweki nyinyi?

Kuna wakati Tanzania inaheshimika nje zaidi ya sasa? Marais wote wakubwa wa dunia wanamiminika wakipigana vikumbo.

Dada, samahani nikuchallenge kidogo. Kupiga kura kila baada ya miaka mitano siyo hoja.Hoja ni kwamba kura yako unaipiga kwa ajili gani....Kuendelea na yale maisha ya kawaida, au unaipiga kwa ajili ya maisha bora? While I maintain neutrality, I think Mr. Nyerere has a valid point.

Many Tanzanians in the diaspora do not embrace change..... Lets take example of the Kenyan community in the US and UK. In the last elections, so many of them participated in one way or the other in the past general elections. they raised funds, contributed ideas and so forth with an intent to have a better Kenya

You seem to be partisan, however, maintaining my very point of neutrality, both political (main)parties need change. CDM needs change and so is CCM. Chadema need change for a better Tanzania. CCM need change in its administration so it can fulfill its pledges to the electorate.

As a diaspora community, we ought to embrace change from ideological perceptive. those that align with CHADEMA to participate in the change process. Those that see CCM as the only route, should do the same. However, the bottom line, key point raised by Mr. Nyerere, why are the diaspora standing on the sidelines? Is it because the situation and condition at home doesn't affect them? Are they contend or fearful ?

In principal, if i respond to Mr. Nyerere, change is normally embraced by those that see a better way of doing things. Tanzanian diaspora careless about change because it does not affect them; thus do not see them benefit of participating in it.

Chinese president visit, or Obama's visit does not mean anything where change is necessary. I hope we can argue from this perspective.....!
 
Dada, samahani nikuchallenge kidogo. Kupiga kura kila baada ya miaka mitano siyo hoja.Hoja ni kwamba kura yako unaipiga kwa ajili gani....Kuendelea na yale maisha ya kawaida, au unaipiga kwa ajili ya maisha bora? While I maintain neutrality, I think Mr. Nyerere has a valid point.

Many Tanzanians in the diaspora do not embrace change..... Lets take example of the Kenyan community in the US and UK. In the last elections, so many of them participated in one way or the other in the past general elections. they raised funds, contributed ideas and so forth with an intent to have a better Kenya

You seem to be partisan, however, maintaining my very point of neutrality, both political (main)parties need change. CDM needs change and so is CCM. Chadema need change for a better Tanzania. CCM need change in its administration so it can fulfill its pledges to the electorate.

As a diaspora community, we ought to embrace change from ideological perceptive. those that align with CHADEMA to participate in the change process. Those that see CCM as the only route, should do the same. However, the bottom line, key point raised by Mr. Nyerere, why are the diaspora standing on the sidelines? Is it because the situation and condition at home doesn't affect them? Are they contend or fearful ?

In principal, if i respond to Mr. Nyerere, change is normally embraced by those that see a better way of doing things. Tanzanian diaspora careless about change because it does not affect them; thus do not see them benefit of participating in it.

Chinese president visit, or Obama's visit does not mean anything where change is necessary. I hope we can argue from this perspective.....!

You have the right to your way of thinking so do I. "who am I to judge you"?
 
Dada, samahani nikuchallenge kidogo. Kupiga kura kila baada ya miaka mitano siyo hoja.Hoja ni kwamba kura yako unaipiga kwa ajili gani....Kuendelea na yale maisha ya kawaida, au unaipiga kwa ajili ya maisha bora? While I maintain neutrality, I think Mr. Nyerere has a valid point.

Many Tanzanians in the diaspora do not embrace change..... Lets take example of the Kenyan community in the US and UK. In the last elections, so many of them participated in one way or the other in the past general elections. they raised funds, contributed ideas and so forth with an intent to have a better Kenya

You seem to be partisan, however, maintaining my very point of neutrality, both political (main)parties need change. CDM needs change and so is CCM. Chadema need change for a better Tanzania. CCM need change in its administration so it can fulfill its pledges to the electorate.


As a diaspora community, we ought to embrace change from ideological perceptive. those that align with CHADEMA to participate in the change process. Those that see CCM as the only route, should do the same. However, the bottom line, key point raised by Mr. Nyerere, why are the diaspora standing on the sidelines? Is it because the situation and condition at home doesn't affect them? Are they contend or fearful ?

In principal, if i respond to Mr. Nyerere, change is normally embraced by those that see a better way of doing things. Tanzanian diaspora careless about change because it does not affect them; thus do not see them benefit of participating in it.

Chinese president visit, or Obama's visit does not mean anything where change is necessary. I hope we can argue from this perspective.....!

RED :Hivi hizi ccm-uk, chadema uk ni za nini? mbona kama facts zinakuwa eliminated kwenye mjadala!!!
Blue : wanatu wanapopiga Kura sio lazima kuwe fundraise kusaidia kisiasa kama kenye etc etc vipi maongezi ya kawaida wanayofanya na ndugu zao kila siku kuhusu chaguzi?

Watz wa ndani ni wengi wakibadilika hao diaspora is nothing, pia tusilinganishe ukubwa wa diaspora ya nchi kama kenya na Tanzania, watanzania ni wachache sana nje, unless kama mna hesabu wa wahindi waliopita hapa bongo na kuchukua uraia wakielekea Canada, passport yetu iko abused at large ni vyema kuwa na facts mezani kabla ya kurusha mawe
 
Kuna mambo mawili mleta mada kakurupuka
Kwanza ana data gani kuonyesha hao baadhi? na hao baadhi ni akinanini dhidi ya wapi?
Lakini pili ni mageuzi gani anayazungumzia yeye?
 
Dada, samahani nikuchallenge kidogo. Kupiga kura kila baada ya miaka mitano siyo hoja.Hoja ni kwamba kura yako unaipiga kwa ajili gani....Kuendelea na yale maisha ya kawaida, au unaipiga kwa ajili ya maisha bora? While I maintain neutrality, I think Mr. Nyerere has a valid point.

Many Tanzanians in the diaspora do not embrace change..... Lets take example of the Kenyan community in the US and UK. In the last elections, so many of them participated in one way or the other in the past general elections. they raised funds, contributed ideas and so forth with an intent to have a better Kenya

You seem to be partisan, however, maintaining my very point of neutrality, both political (main)parties need change. CDM needs change and so is CCM. Chadema need change for a better Tanzania. CCM need change in its administration so it can fulfill its pledges to the electorate.

As a diaspora community, we ought to embrace change from ideological perceptive. those that align with CHADEMA to participate in the change process. Those that see CCM as the only route, should do the same. However, the bottom line, key point raised by Mr. Nyerere, why are the diaspora standing on the sidelines? Is it because the situation and condition at home doesn't affect them? Are they contend or fearful ?

In principal, if i respond to Mr. Nyerere, change is normally embraced by those that see a better way of doing things. Tanzanian diaspora careless about change because it does not affect them; thus do not see them benefit of participating in it.

Chinese president visit, or Obama's visit does not mean anything where change is necessary. I hope we can argue from this perspective.....!

Post yako nimeisoma mpaka hapo kwenye red tu sikuendelea mbele kwa sababu imejidisqualify totally hapo kwenye red.

Kuna option zaidi ya hizo mbili ulizotaja. Mtu anaweza kupiga kura kuingia kwenye maisha mabaya zaidi ya yale aliyo nayo. Wewe upeo wako umeishia kwenye kubaki palepale na kuchagua bora na uko totally blind about kuchagua bad option.

Mtanzania aliyeondoka nchini tayari ameshachagua mabadiliko. Asingetaka mabadiliko angebaki Tanzania. Kumwambia kuwa hapendi mabadiliko ni aina fulani ya UNAZI ya kumlazimisha kuwa mabadiliko maana yake ni kile unachotaka wewe akichague.
 
You have the right to your way of thinking so do I. "who am I to judge you"?

I am not judging you my sister. for the sake of the sake of the argument, we must dissect critically the topic, and all contributions ! I find the discussion to be a healthy one for country's good

Apology if you felt judged. That was not my intent
 
Nikiwa miongoni mwa Watanzania waumini wa mageuzi, nimekuwa nikistaajabu kuwaona "baadhi" ya Watanzania wenzetu waishio nje ya Tanzania wakisita sana kuyapokea mageuzi tunayoyahitaji kwa udi na umvumba Watanzania sisi hasa hiki kizazi cha tatu!

Huu ni mtazamo wangu, na ninaweza kutofautia na wengi katika hili, lakini kutofautia kwa hoja katika jambo lolote linalokusanya malenga wa wili ni turufu muhimu kwao.

Yapo mambo mengi ambayo mimi nimeyaona ni sehemu ya sababu za Watanzania hawa kuwa nyuma katika matakwa ya kimageuzi,

Kwanza kabisa Watanzania tukubali kuwa silika nikikwazo kikubwa cha mwanadamu kubadilika, na wenzetu hawa bado silika imewaandama vya kutosha!

Pili Watanzania hawa wanaathiriwa na ubora mimi, hii ni tabia iliyojijenga kwa kizazi cha kiafrika na hususani Tanzania watu kudharauliana, mtu akifika Ulaya basi yeye sasa anajua kila kitu na hawezi jifunza chochote kwa mie Mnyalukolo aliyeniacha Nyololo,

Hivyo hata hizi harakati za mageuzi tunazoziendesha hapa Tanzania kuna Watanzania wengingine huko Ughaibuni wanatuona ni wapuuzi tu liliokosa darasa na mwangaza,

Tatu, Watanzania wengi asili ya uwepo wao nje ya nchi upo mikononi mwa serikali na chama tawala, hivyo mahubiri ya mageuzi yoyote kwao ni kelele tu,

Tano, Balozi zetu huko duniani zinaendesha shughuli zao kwa asili ileile ya mfumo wa chama kimoja, hili linahitaji mageuzi makubwa ili balozi zetu zikubali kukabiliana na fikra mpya za vijana wetu huko waliko!

Hayo ni machache ambayo mimi nimeyaona nisababu za msingi,
Umechnganyikiwa!!!!
Hao watanzania walioko ughaibuni wako wangapi hadi kukubabaisha?
Halafu badala ya balozi zetu kujitahidi kuhamasisha na kuingia ubia na watanzania unataka waingie masuala ya kipuuzi ya maandamano?

Akili kama Msigwa we!!!
 
Post yako nimeisoma mpaka hapo kwenye red tu sikuendelea mbele kwa sababu imejidisqualify totally hapo kwenye red.

Kuna option zaidi ya hizo mbili ulizotaja. Mtu anaweza kupiga kura kuingia kwenye maisha mabaya zaidi ya yale aliyo nayo. Wewe upeo wako umeishia kwenye kubaki palepale na kuchagua bora na uko totally blind about kuchagua bad option.

Mtanzania aliyeondoka nchini tayari ameshachagua mabadiliko. Asingetaka mabadiliko angebaki Tanzania. Kumwambia kuwa hapendi mabadiliko ni aina fulani ya UNAZI ya kumlazimisha kuwa mabadiliko maana yake ni kile unachotaka wewe akichague.

Mkuu watu wamekuwa brainwashed na wanataka watu wote wachague wanavyotaka na kupenda wao tu na kuweka dhana nzima ya demokrasia pembeni
 
Kuna mambo mawili mleta mada kakurupuka
Kwanza ana data gani kuonyesha hao baadhi? na hao baadhi ni akinanini dhidi ya wapi?
Lakini pili ni mageuzi gani anayazungumzia yeye?

yawezekana kuna kitu kikifanyika ndio mageuzi au mabadiliko, lakini mtoa uzi ajasema ni kipi hicho
 
Mkuu watu wamekuwa brainwashed na wanataka watu wote wachague wanavyotaka na kupenda wao tu na kuweka dhana nzima ya demokrasia pembeni

Wote ni uchu wa madaraka tu wa hawa opportunists. Mtu kashaondoka Tanzania, bado wanalalamika kuwa hashiriki siasa. Je, wamejiuliza sababu ya kuondoka kwake? What if ameondoka kwa sababu ameona siasa za Tanzania hazimfai?
 
Dada, samahani nikuchallenge kidogo. Kupiga kura kila baada ya miaka mitano siyo hoja.Hoja ni kwamba kura yako unaipiga kwa ajili gani....Kuendelea na yale maisha ya kawaida, au unaipiga kwa ajili ya maisha bora? While I maintain neutrality, I think Mr. Nyerere has a valid point.

Many Tanzanians in the diaspora do not embrace change..... Lets take example of the Kenyan community in the US and UK. In the last elections, so many of them participated in one way or the other in the past general elections. they raised funds, contributed ideas and so forth with an intent to have a better Kenya

You seem to be partisan, however, maintaining my very point of neutrality, both political (main)parties need change. CDM needs change and so is CCM. Chadema need change for a better Tanzania. CCM need change in its administration so it can fulfill its pledges to the electorate.

As a diaspora community, we ought to embrace change from ideological perceptive. those that align with CHADEMA to participate in the change process. Those that see CCM as the only route, should do the same. However, the bottom line, key point raised by Mr. Nyerere, why are the diaspora standing on the sidelines? Is it because the situation and condition at home doesn't affect them? Are they contend or fearful ?

In principal, if i respond to Mr. Nyerere, change is normally embraced by those that see a better way of doing things. Tanzanian diaspora careless about change because it does not affect them; thus do not see them benefit of participating in it.

Chinese president visit, or Obama's visit does not mean anything where change is necessary. I hope we can argue from this perspective.....!

Watu ambao wameondoka kwenye nchi waliyozaliwa na wanaishi katika nchi nyingine. Wengine wana uraia wa nchi hizo zingine na wanasafiri kwa pasipoti ambazo siyo za Tanzania. Bado unasema wato hawa hawakubali mabadiliko? Au tafsiri yako wewe ya mabadiliko ni kumchagua padri slaa awe rais wetu?
Tena unatoa mfano wa Wa-kenya? Mimi nimewahi kuishi ughaibuni na nimeshakutana na wajaluo ambao wamekataa kuingia kwenye pub/bar inayomilikiwa na wakikuyu, ndani ya UK. Wakenya hawapigi kura kutokana na sera za chama au mgombea. Wanapiga kura kutokana na jina/kabila la mgombea. Naelewa kwanini unataka tuwe kama wakenya lakini sidhani kama watanzania walio wengi wanataka tuwe kama wakenya. Na ndiyo maana watu wenye tabia za kikenya hawajahi kushinda uchaguzi wa urais hapa kwetu.
 
yawezekana kuna kitu kikifanyika ndio mageuzi au mabadiliko, lakini mtoa uzi ajasema ni kipi hicho

Mkuu nakuhakikishia mageuzi anayo yaongelea yeye ni kuiunga mkono cdm iingie madarakani, period
Kama unajua kuunganisha dot pitia tena kuanzia post yakwanza utaona majibu yake
 
Post yako nimeisoma mpaka hapo kwenye red tu sikuendelea mbele kwa sababu imejidisqualify totally hapo kwenye red.

Kuna option zaidi ya hizo mbili ulizotaja. Mtu anaweza kupiga kura kuingia kwenye maisha mabaya zaidi ya yale aliyo nayo. Wewe upeo wako umeishia kwenye kubaki palepale na kuchagua bora na uko totally blind about kuchagua bad option.

Mtanzania aliyeondoka nchini tayari ameshachagua mabadiliko. Asingetaka mabadiliko angebaki Tanzania. Kumwambia kuwa hapendi mabadiliko ni aina fulani ya UNAZI ya kumlazimisha kuwa mabadiliko maana yake ni kile unachotaka wewe akichague.

Kuna option zaidi ya hizo mbili ulizotaja. Mtu anaweza kupiga kura kuingia kwenye maisha mabaya zaidi ya yale aliyo nayo. Wewe upeo wako umeishia kwenye kubaki palepale na kuchagua bora na uko totally blind about kuchagua bad option.

Mtanzania aliyeondoka nchini tayari ameshachagua mabadiliko. Asingetaka mabadiliko angebaki Tanzania. Kumwambia kuwa hapendi mabadiliko ni aina fulani ya UNAZI ya kumlazimisha kuwa mabadiliko maana yake ni kile unachotaka wewe akichague.[/QUOTE]

Zemarcoplo!
Maybe you have not and maybe not understanding my argument....... I don't want to apply philosophical approach to the issue while trying to be very clear ....I AM MAINTAINING NEUTRALITY. Lets argue from here

Change is good to some, and to some, it is absolutely unacceptable! As Tanzanians, should we embrace or resist it? It depends on who you ask.......MAFISADI will never accept change, because their interests will be threatened. Will a common Mwananchi accept. YES ! because he needs better health care, better education for his children. He needs reliable electricity and so forth. He needs a better life

Mtanzania aliye nje ya nchi, may accept, may not accept change. Depending on their backgrounds. If hails from a family with UFISADI background, NO he will never accept change. If he is from a poor family and knows that change will better his people's lives, of course he will. There are so many factors playing here. Lets take this topic and push it further. It is a good argument,

Kindly discuss the issue without leaning on one side of the fence. That's what I will do, i want a better Tanzania for all Tanzanians....... Stand in the middle and view it as a national issue rather than CHADEMA Vs. CCM !
 
I am not judging you my sister. for the sake of the sake of the argument, we must dissect critically the topic, and all contributions ! I find the discussion to be a healthy one for country's good

Apology if you felt judged. That was not my intent

Read carefully, is there any where I wrote YOU JUDGED ME?
 
Watu ambao wameondoka kwenye nchi waliyozaliwa na wanaishi katika nchi nyingine. Wengine wana uraia wa nchi hizo zingine na wanasafiri kwa pasipoti ambazo siyo za Tanzania. Bado unasema wato hawa hawakubali mabadiliko? Au tafsiri yako wewe ya mabadiliko ni kumchagua padri slaa awe rais wetu?
Tena unatoa mfano wa Wa-kenya? Mimi nimewahi kuishi ughaibuni na nimeshakutana na wajaluo ambao wamekataa kuingia kwenye pub/bar inayomilikiwa na wakikuyu, ndani ya UK. Wakenya hawapigi kura kutokana na sera za chama au mgombea. Wanapiga kura kutokana na jina/kabila la mgombea. Naelewa kwanini unataka tuwe kama wakenya lakini sidhani kama watanzania walio wengi wanataka tuwe kama wakenya. Na ndiyo maana watu wenye tabia za kikenya hawajahi kushinda uchaguzi wa urais hapa kwetu.

Lengo la hii thread ni kutaka kuwashawishi watanzania in the diaspora wajenge utamaduni wa kuwapa pesa wanasiasa uchwara wa Tanzania. Anachosema Yericko ni kwamba mbona jamaa hawawaletei hela za kampeni. Hakuna kingine.

Kumbuka kuwa watu wa diaspora wanasoma habari na wanajua jinsi mnavyozitumia vibaya hizo pesa, ndio maana hakuna mtu atakayekuleetea dollar yake ukamjengee nyumba kimada wako.

Halafu Yericko na wanamuunga mkono hawajui vizuri historia ya upinzani. chama cha wananchi CUF kimejengewa nguvu kubwa sana ya kiuchumi kutokana na michango ya fedha za wazanzibar wanaoishi ughaibuni. Hawa walichanga kwa moyo kwa sababu hakukuwa na taarifa za ufujaji wa michango yao kama wanavyofanya viongozi wa chadema. Chadema ikiweza kuwaconvince watu wa diaspora kuwa wakiichangia michango hiyo itakuwa na manufaa basi they will do it.

Kama kuna tusi kubwa la kumtukana mtu aliyeondoka nchini kwake kwenda kutafuta better environment elsewhere bila kuogopa risks za kuwa mbali na nyumbani na upweke basi ni kumwambia mtu huyo kuwa hapendi mabadiliko. Yericko na wanaomuunga mkono wanadhani mabadiliko maana yake ni kushiriki harakati za chadema. Hii ni Imani potofu ya KINAZI...
 
Back
Top Bottom