Baadhi ya wanawake wanatapeliwa na Manabii

Baadhi ya wanawake wanatapeliwa na Manabii

kijana13

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,981
Reaction score
3,635
I wonder especially mambo yanayoendelea Dar, hii nimeiona sana kwa akina dada wengi wanavyotapeliwa mjini. Nowdays manabii wamekuwa wengi wengine wanamakanisa wengine hawana. Wahanga wa kutapeliwa wengi ni wanawake.

Unakuta mwanamke unahangaika kwenye ujasiriamali wako au kwenye ajira yako pesa yote unampa nabii ili akufunulie mambo yako. Enyi wanawake nani amewaroga? We kila jambo unalokutana nalo eti ngoja nimuulize nabii.

Wengi manabii mnaowamini ni waongo sana. Wengi wanabad behaviour na si watumishi wa Mungu. Enyi akina dada acheni kutapeliwa, rudini kwenye imani zenu za awali mdumu katika sala God atawasaidia sana.

Achaneni na manabii ni waongo na wezi, wao kazi yao nikuwahimiza mtoe pesa.
 
I wonder especially mambo yanayoendelea Dar, hii nimeiona sana kwa akina dada wengi wanavyotapeliwa mjini. Nowdays manabii wamekuwa wengi wengine wanamakanisa wengine hawana. Wahanga wa kutapeliwa wengi ni wanawake. Unakuta mwanamke unahangaika kwenye ujasiriamali wako au kwenye ajira yako pesa yote unampa nabii ili akufunulie mambo yako. Enyi wanawake nani amewaroga? We kila jambo unalokutana nalo eti ngoja nimuulize nabii. Wengi manabii mnaowamini ni waongo sanaaaa. Wengi wanabad behaviour na si watumishi wa Mungu. Enyi akina dada acheni kutapeliwa, rudini kwenye imani zenu za awali mdumu katika sala God atawasaidia sana. Achaneni na manabii ni waongo na wezi..wao kazi yao nikuwahimiza mtoe pesa.
wanawake ndio wahanga wakubwa sana wa hawa watu aisee, hii inamaanisha upeo wao wa kufikiri ni mdogo,sasa hawa watu wa haki sawa wanataka wawape nafasi za uongozi na ajira kwa kulazimisha ili tuwe 50%/50%
 
Mkuu kwanini usianzishe huduma ya kinabii halafu nasi tujifunze. Maana wengi wanasema huko pesa za bure; lakini wao hawaanzishi ingawa shughuli zao za sasa haziwapi pesa za bure.
 
acha wapigwe 2 hao manabii wenyewe maisha yamewapiga halafu yeye anajipeleka lazma akupige 2........nabii mwenyewe kapigika na maisha halafu unaenda kwake akusafishie nyota cjui na omo ama magadi
 
Wanawake ndivyo walivyoumbwa mana wanawahi kuamin na kuingirika kiurahs sana kila tatizo hadi ndoto leo znatafasiriwa na nabii na ndio mana huwa mwisho wa siku wanaambuliwa kuibiwa na pengne kufanyia vitu vya hovyo wakiamin wanapata uponyaji
 
Hakuna tatizo kuwa na manabii. Tatizo ni uvivu wa watu wote kumtafta Mungu wa kweli. Hakuna mtu alozaliwa ili anyanyasike au awe mtumwa, kila mtu ananafasi sawa mbele za Mungu akijua nafasi yake. Tatizo ni uvivu maana kumtafta Mungu ni gharama, anayekubali gharama hababaishwi na chochote maana atajua nini/wapi/yupi/ ni sahihi.
 
Hili jambo linasikitisha sana. Basi tu, ngoja tuwaachie wenye imani zao.
 
i wonder especially mambo yanayoendelea dar, hii nimeiona sana kwa akina dada wengi wanavyotapeliwa mjini. Nowdays manabii wamekuwa wengi wengine wanamakanisa wengine hawana. Wahanga wa kutapeliwa wengi ni wanawake.

Unakuta mwanamke unahangaika kwenye ujasiriamali wako au kwenye ajira yako pesa yote unampa nabii ili akufunulie mambo yako. Enyi wanawake nani amewaroga? We kila jambo unalokutana nalo eti ngoja nimuulize nabii.

Wengi manabii mnaowamini ni waongo sana. Wengi wanabad behaviour na si watumishi wa mungu. Enyi akina dada acheni kutapeliwa, rudini kwenye imani zenu za awali mdumu katika sala god atawasaidia sana.

Achaneni na manabii ni waongo na wezi, wao kazi yao nikuwahimiza mtoe pesa.

ukipinga ni haki yako, lakini ni ukweli kuwa wanawake na wanaume wenye vinasaba vya kike ni wahanga wa matapeli. Sababu ya kuwa na akili nyingi lakini busara kidogo sana, hawana uwezo wa kuhoji. Ndio wanaojaza makanisa hayo.
 
Kwa kuwa wanajipeleka wenyewe waachane wapigwe tu kwa sababu hamna namna nyingine ya kuwasaidia na mm nasema wapigwe tu.
 
Eti nabii anataka kukufanyia maombi gesti na mwanamke anakwenda!!!
 
Wanawake wanao fanya kazi halali na kujipatia kipato na kuishi kulingana na kipato hicho mara nyingi hawababaishwi na mtu yoyote ata kama anaji ita nabii au mtume
 
Kuhusu akili za wanawake wao hawafikirii logically wao wanafikiri emotionally na hapo ndipo wanapoingizwa mjini. ..na hiyo ni jinsi tulivyoumbwa wachache wanauwezo wa kuchakata mambo
 
Yaani mimi mtu akishajiita Mtume sijui Nabii nakuwa naye makini sana. KWANZA KWANINI AJIITE NABII? kina Musa walijiita wao? Enyi wanawake kuweni makini na hawa MANABII WA UONGO.
 
nina wasi wasi nyie watu wa hadhara hii hamna kazi ya kufanya sasa.swala la jk kufanya yale ambayo tulidhani anaweza ni ndoto kesha sema na si mara moja wala 2 kwamba yeye anafuata yale aliyo yaanzisha mkapa na kuyaacha mengine haya aliyo bahatika kufanya ni baada ya kuona hana namna . Sasa mnasikiliza mbwembwe za semina endelezi wazee ? Wacha anunue madege na matukutuku ila pesa za wanafunzi kukopeshwa hawana na nchi ni masikini ilapesa za kukaa ngurdoto wiki nzima zinapatikana .
yataje na onesha udhaifu wa kila moja.
 
Issue niliyodhamiria sio hiyo.kuna tatizo katika mfumo ?
 
I wonder especially mambo yanayoendelea Dar, hii nimeiona sana kwa akina dada wengi wanavyotapeliwa mjini. Nowdays manabii wamekuwa wengi wengine wanamakanisa wengine hawana. Wahanga wa kutapeliwa wengi ni wanawake.

Unakuta mwanamke unahangaika kwenye ujasiriamali wako au kwenye ajira yako pesa yote unampa nabii ili akufunulie mambo yako. Enyi wanawake nani amewaroga? We kila jambo unalokutana nalo eti ngoja nimuulize nabii.

Wengi manabii mnaowamini ni waongo sana. Wengi wanabad behaviour na si watumishi wa Mungu. Enyi akina dada acheni kutapeliwa, rudini kwenye imani zenu za awali mdumu katika sala God atawasaidia sana.

Achaneni na manabii ni waongo na wezi, wao kazi yao nikuwahimiza mtoe pesa.
Kinachosikitisha ni kuona janaume zima nalo limetekwa akili limechakaa linamuwaza nabii tu na kudhani ndie Yesu mwenyewe!
 
Hawa inasemekana hata kwa akina sangoma wanaenda xn kuliko wanaume cjui wakoje hawa watu
 
Back
Top Bottom