Baadhi ya wanawake wanadanganya wamefika kileleni

Baadhi ya wanawake wanadanganya wamefika kileleni

Wasichana wasikuizi Wanafake tu Orgasm we
unaona wanalia kama Ndama mtoto
Unajua wanafaidi kumbe wanakutia tu moyo
umalize waende kuoga..
JINGA KABISA..!
Watoto wa mjini hao,we na nyomi lote hili mjini unataka kitu mnato?labda kijijini sitimbi kule Prof. J alipomtoa yule demu wake
 
anapiga kelele halafu macho makavu. Usiombe ukutane na anaesoma gazeti huku mtu mzima umejipinda mpk mwisho[emoji1] [emoji23]
 
Mbona mwanamke anayefoji orgasm anafahamika tu mkuu
Mwanamke akiwa yupo katka harakati za orgasm huwa hawezi kujizuia
Ke akianza kufoji ukisimsmisha tu game na yy anasimama
Ke akifikia orgasm lzm atulie hata kama alikuwa anaserebuka utamfaham tu kwa wachache sana anayekuwa na multiple orgasm
Aisee Kumbe ndo inavyokuwa?
 
Aisee hiyo stori ya paracetamol niliiskia tangu niko primary, but sijawahi kupractice
Hakuna ukweli kwenye paracetamol, nishajaribu, bila paracetamol mgegedo 25 min, kutumia paracetamol mgegedo 25 min.
 
mbona unalalamika sana bae, kusafiri tu 3days ndo ushanifanyia hivyo? sawa bhana but mind you I still love you sanaaa
Yakwetu ni jukumu letu hayawahusu majirani, but the truth is sjakucheat
 
Yakwetu ni jukumu letu hayawahusu majirani, but the truth is sjakucheat
thanks bae at least I can have normal breath now.

My heartbeats was moving so fast but now at least looooh
 
Ukweli ni kwamba mwanamke kufake orgasm kwangu atakuwa amefanya kazi ya ziada, kuna mmoja ilitokeaga nimegegeda nikaona kabisa anafake, nikamsubiria alete uongo wake,,, eti bby sijawai fikishwa kama ulivyo nifanya leo,,, nilimtemea bonge la kohozi sipendagi ujinga mimi....mpaka leo ni maadui
 
Kwa amateurs ndio watadanganywa lkn kwa wazoefu wanajua kama ni kweli au fake, halafu mwisho wa siku si lazima afike kileleni!!!! Je kama ni wewe umelazimisha sex wakati yy hakuwa na mpango huo????
Au je kama anafanya sex kwa sababu umemuahidi pesa au favour nyingine unategemea ataenjoy hilo tendo?????
Aisee hiyo inawezekana,
lakini swali ni je, wanafanya ivyo kumkomoa nani?
 
Back
Top Bottom