Hahaaaaaaaaa, mkuu pole. Nilishawahi kukutana na case kama hizo mbili, tena wote wachaga. Mmoja ilikuwa Dar na nyingine ilikuwa Morogoro. Huyo wa Dar ndo aliniacha hoi, yaani mimi nachakrika kila style mtu katulia tuu. Mbaya zaidi simu yake ikaita tukiwa katikati ya mechi. Akaishika akaipokea wakati mimi naendeleza game. Kudadadeki, alianza kuongea kilugha, mara nikasikia mambo ya hela, sijui wanaambiana bei nikajua ni dili la biashara. Alipomaliza kuongea, akajifanya anakata kiuno kidogo baadaye akasema amemaliza. Nilishtuka aliponiuliza, "hujamaliza?'
Shikamoo wadada wa kichaga.