STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,262
- Thread starter
- #61
Aisee agiza miguu ya kuku nakuja kulipa,Kwa kiasi kikubwa hizi ni nyakati za ubadia (fake era). Tunaanza wote kwa vyakula na vinywaji bandia. Wao wanaendelea: nywele bandia, kope bandia, kucha bandia, sauti bandia, makalio bandia, matiti bandia, mwendo bandia. Na sisi wanaume: uume bandia na nguvu (za kiume)bandia.
Halafu tunakutana tena kwenye mapenzi bandia na ndoa bandia. Watafanyaje sasa ili maisha mengine yaendelee kama kawaida? Hamna namna zaidi ya kilele bandia.
Nafikiri nyakati na maisha halisi vinawalazimisha walio wengi kufanya hivyo.
upo excelent kabisaaa