kritika
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 410
- 1,152
Ila wanaume wachafu sana. Unajua kabisa mtu anajiuza na wewe unaenda kuosha rungu lako hapo hapo. Hivi hamuwazagi muda anakuja kukuwinda wewe ametoka kulalwa na mteja mwingine tena utakuta hata hajaoga.
Hivi hata ashki za kulala na kahaba mnazitoa wapi?
Kwanini mnakua wachafu kiasi hicho tena utakuta una mke na watoto nyumbani.
Hivi hata ashki za kulala na kahaba mnazitoa wapi?
Kwanini mnakua wachafu kiasi hicho tena utakuta una mke na watoto nyumbani.