johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Kiukweli angalizo lililotolewa na Rais Magufuli kwa wateule wake wanaotamani ubunge limewanyong'onyeza baadhi ya wakuu wa Mikoa na Wilaya.
Chalamila kwa mfano tulitegemea ataenda kumstaafisha mchungaji Msigwa pale Iringa mjini lakini ndio hivyo tena, nafasi yake imechukuliwa na msanii Pierre Liquid.
Maendeleo hayana vyama!
Chalamila kwa mfano tulitegemea ataenda kumstaafisha mchungaji Msigwa pale Iringa mjini lakini ndio hivyo tena, nafasi yake imechukuliwa na msanii Pierre Liquid.
Maendeleo hayana vyama!