:first:Hao sio waislam, ni wahuni tu wametumiwa na wanasiasa! Hakuna muislam anayeweza kushabikia uchafu huu! Kwanini mhariri hakwenda kwa Mufti au BAKWATA angalau kujua msimamo wa waislamu? Hao waliotumiwa ni wahuni, ni waislamu jina na usikute hata KITIMOTO wanakula tena sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:first: