Kwa taarifa yako mm ni Chadema Damu lakini huyu zitto kazidi mara anajitangazia Urais kero kibao huyo ni kimeo kama hamjui ni swaiba wa karibu sana na JK kama mjuavyo Udhaifu wa JK atamwambukiza zitto na baadae kuharibu chamaNjama zenu CCM tumeshawabaini, hivyolete kwanza hoja za kina Sendeka na Ruth Msafiri tuyajadili hapa. Haiwezekani urejister na ID mpya kwa ajili ya Zitto. Ladha gani ya CDM unayoijua wewe?na toka lini wewe umekuwa mwana-CHADEMA na mzalendo? Nenda zako wewe gamba na ukome kuleta propaganda zenu mnazopewa na Nape hapa, kwani tayari tumewabaini.
Mm naomba nimtete zito hajapewa chochote na huo ni uzushi wa ccm ili ionekane kwamba hata cdm wanachukua rushwa kama nikweri nani alimpa hiyo rushwa nakwanini alie toa na alie poke kwanini hawakamatwi? hivyo lazima tujaribu kufikia kazi ya usalama wataifa ni kwa urimboka tuu! Uzushi wa ccm na wabuge pamoja na dhaifu wao.
Sijui kuishiwa hijja ndio nini ila nimegundua kuwa una agenda moja tu kumtetea zito tena bila hoja.Unatumia neno sisi mko wangapi?? hefu fuatilia nyuzi zote humu zinazomzungumzia Zitto halafu ujionee aibu...au ni kampuni ya mama mhando alokuwa akisupply stationary za TANESCO na sas kimenuka?? Pole tafuta udeiwaka kwenye dala dala zitto mlomtuma kakuta waana wa nchi tupo macho.Naona umeishiwa hija, kakojoe ulale sasa. Sisi tunaendelea na mada ya leo
Zitto anapigwa mawe kwasababu ya dini yake.
Kwa taarifa yako mm ni Chadema Damu lakini huyu zitto kazidi mara anajitangazia Urais kero kibao huyo ni kimeo kama hamjui ni swaiba wa karibu sana na JK kama mjuavyo Udhaifu wa JK atamwambukiza zitto na baadae kuharibu chama
Zitto anapigwa mawe kwasababu ya dini yake.
Kumbe wewe unajenga opinion yako kufatana na idadi ya watu wanao changia in a way or another? mi najenga opinion yangu kwa kusoma fact na kuziweka in context.Sijui kuishiwa hijja ndio nini ila nimegundua kuwa una agenda moja tu kumtetea zito tena bila hoja.Unatumia neno sisi mko wangapi?? hefu fuatilia nyuzi zote humu zinazomzungumzia Zitto halafu ujionee aibu...au ni kampuni ya mama mhando alokuwa akisupply stationary za TANESCO na sas kimenuka?? Pole tafuta udeiwaka kwenye dala dala zitto mlomtuma kakuta waana wa nchi tupo macho.
Out of point...Kumbe wewe unajenga opinion yako kufatana na idadi ya watu wanao changia in a way or another? mi najenga opinion yangu kwa kusoma fact na kuziweka in context. Context hapa ni kwamba kuna chama chenye nguvu kinakuja kupindua landscape nzima ya siasa ya Tanzania. Ndani ya chama hicho kuna kijana mwenye vipaji na support toka ndani na nje ya nchi, kijanamwenye ambition na means to achieve his vision for Tanzania. Context inaonesha kua kuna chama tawala ambacho hakina support, kimejaa mafisadi lukuki na wenyewe kwa wenyewe wameanza kugeukana na kujenga vikundi mbali mbali. In that context, naona rumors toka kwa hao hao magamba (ambao wanatudanganya kila siku kua maisha yatakua bora) kwamba huyu kijana wa upinzani ni fisadi na anatembea na mafisadi wa chama tawala. The minimum I can do is to question these allegations and require for facts because this looks too good for the mesenger of this news for me to swallow it in one piece. Ninacho fanya ni kuomba ushahidi wa hizo allegation, nikiupata nitaomba pia huyo kijana ajitetee na baada ya hapo ndio nitajua ukweli uko wapi. Mtu wowote mwenye minimum ya busara lazima aombe ushahidi. asipo fanya hivo either he is part of the propaganda machine, or he is so dumb that he deserves to be a waiter in CCM, not more. Tena tafadhali usije na ID yako ya Precise pangolin kuniuliza haya haya!
wanajf wapenda haki thread zinazo mhusu zitto na chadema msiingine kichwa kichwa kujibu..ni kampeni ya kukigawa chama cha demokrasia na maendeleo..zitto ni chadema hata kama kajinyea kama kuna mambo anafanya kuna vikao vitamshugulikia..
Mkuu utakesha...huyu kilaza yupo kikazi zaidi...kafunika kichwa chini kama mbuni hakuna anachotaka kuingiza tena kichwani...huyu zito anayemtetea saaana tuliwahi kumtete kuliko unavyofanya hapa lakini tumestuka....ni kibaraka na yupo kimaslahi zaidi....Labda tuseme tunatofautiana ufahamu na maamuzi baada ya kuelewa. Pale Bungeni njia rahisi kabisa ya kufunga midomo ya watu ni kuwataka watoe ushahidi. Kiongozi akishakuwa dhaifu kila anachoambiwa ataomba ushahidi badala ya kuutafuta mwenyewe. Bila uadui wa kisiasa, tabia ya Mh. huyu iko kinyume na mategemeo. Hizo rumours unazosema utazisubiri mpaka lini ziwe na uthibitisho? Fiction ndo huzaa reality, hata ktk film za akina J.Bond. Hebu tujarbu kuruhusu akili yetu kukubali hata yale tusiyotegemea.
Mkuu,
Kiongozi wangu MchunguZI; kwanza nakushukuru sana kwa kutake trouble kunijuza yote haya, maana nilikuwa nina tongotongo machoni.
Kuna Mkulu moja aliniuma sikio juzi nilipokuwa masafa kuwa Mbunge wetu kijana sasa hivi anao utajiri wa kutisha na ana biashra zake. Kama ni kweli au la, mimi sijui.
Nafahamu kuwa Zitto and Range Rover Supercharger Sports. Sina uhakika na magari mengine anayotajwa kuwa nayo pamoja na mali.
Pia kuna tuhuma yuko karibu sana na Mkulu na wameonana several times na kwamba CHADEMA wanafahamu yote haya bali wanaona si vema kumfukuza inzi, wacha afie kidondani.
Kama tuhuma zote hizi ni za kweli au la, Zitto anayokazi ya kujisafisha. Ni hawa hawa watu waliokuwa mashabiki na wapenzui wake ambao sasa hivi wamemgeuka?
What exactly happened Hon. Zitto Kabwe? What is behindi all these? And who is behind all these? Are these allegations true?
Mkuu Mkirua huyu jamaa kachanganyikiwa anafikiri zote ni ID zanguOut of point...