Ni hivi mwenzetu,
Kwa wiki kadhaa sasa kumekuwa na tatizo ktk Wizara ya Nishati na madini. tatizo lenyewe ni la umeme, Tanesco. Baada ya waziri mpya kuingia kafumua mambo mengi sana lakini kubwa ni kwamba kumbe Tanesco wamekuwa wakiunda upungufu wa umeme kwa makusudi ili waanze kutumia pesa za shirika vibaya ktk kununua mafuta mazito ya kuendeshea mitambo ya ziada, ili kufidia upungufu huo. Pesa wanazozitengeneza ktk manunuzi hayo wanagawana.
Hadithi zinaeleza pesa hizo zinafahamika hata ndani ya kamati ya bunge ambayo inaongozwa na Mh. huyu. Bunge leo limesema na kuzomeya "Zitto", pale Mh. mmoja alipolaani mafisadi walioshirikiana na Tanesco.
Siku chache zilizopita pia Mkurugenzi mkuu wa Tanesco alisimamishwa kwa ufisadi. Ajabu Mh. huyu ndo wa kwanza kusema kaonewa. Tulitegemea yeye awe wa kwanza kufahamu undani wa ufisadi huo.
Lisemwalo lipo. Wiki hizi za bajeti ilisikika kwamba kuna wabunge walishajipanga kuwakataa viongozi wa Wizara hii kwa sababu tu eti wameigusa Tanesco. Yaweza kuwa kweli maana magazeti yameandika yakieleza kwamba Rais ana imani na uongozi wa wizara, ikiashilia kuna kundi fulani halina imani nao. Kama ni hivyo baadaye kuna jambo au mawasiliano yaliyofanyika kati ya wabunge maana jioni ya leo sasa bunge limekuwa kama uwanja wa Taifa. kwa pamoja kila aliyesimama kulaani uongozi wa Tanesco, alishangiliwa kama gori la ushindi.
Sisi JF tuliwahi kuhoji uhalali wa Mh. Zitto kuitetea Tanesco ilipokuwa inapanga kununua majenereta (nadhani ni yale ya Dowans) ili kufidia upungufu wa umeme. Sasa kumbe hata upungufu huo umekuwa ukitengenezwa!
Tuseme nini juu ya Mh huyu? na hasa gharama ya imani aliyokuwa amepewa na watu?
Unajitahidi sana kumsafisha zito ama kwa kutokujua unayemtetea ameshajichafua au kwa maslahi na kwa kutumwa na yeye zito...unapoteza mda. Huyu huyu zito ndiye aliyekuwa mstari wa mbele kumtetea mhando leo yako wapi...yaliyosemwa na wapinzani wenzie leo (rejea hotuba ya kambi rasmi ya upinzani bungeni leo kama hujaisoma usome kipengele kinachomhusu mhando) ni kielelezo tosha kuwa huyu bwana ni mamluki ndani ya upinzani...tunaomjua toka DARUSO akigeuka wenzie kwenye mipango na kuvujisha siri hatushangai...yawezekana humjui kaa kimya au kama umetumwa atavuliwa nguo hapa kwa kuanikwa hata ambayo watu hatupendi kuyaanika hadharani..Tulimpenda ila tamaa imempenda zaidi hatuna imani naye tena.Leo ndio unaliona sababu magamba wamkutuma kusema hivo?
Huna lolote roho mbaya tuu na chuki binafsi,huwaoni waloiba EPA na Richmond umemuona Zitto tuu? Kumbe Zitto mwanamme anakulaza machoeee nabaado wala kura yako haiitaji wewe zidi kumpaka matope lakini ujue
Humuaribii na kumbuka nia safi hairogwi loooooo ushindwe na ulegee Kama bamia lakuchemsha.....
Mkimaliza udaku tuongee fact. Vipi kuhusu Richmond, dowans?Zitto ni janga hawezi akatofautiana na mapendekezo ya kambi ya upinzani bungeni kuwa mhando hafai yeye anasema anafaa kala rushwa huyu zitto aka fisadi papa
Mkiishiwa hoja ndio mnakuja na sababu za kitoto kama hizo. Kama hutaki kuyaanika ungekaa kimya. Mradi umeamua kusema leta ushahidi. Sio ushabiki wa kijinga. Zitto angekua mamluki wala hungemuona anaongea na watu wa CCM sababu angekua busy kuficha acquaintances zao. Kinacho fanyika hapa ni kujaribu kugawa CDM mara mbili zababu wameona hatari ya CDM in 2015 haikwepeki. Na wewe kama hujaliona hilo basi pole sana, nakuonea huruma kwa kupokea udaku kama msichana. We need facts, not rumors.Unajitahidi sana kumsafisha zito ama kwa kutokujua unayemtetea ameshajichafua au kwa maslahi na kwa kutumwa na yeye zito...unapoteza mda. Huyu huyu zito ndiye aliyekuwa mstari wa mbele kumtetea mhando leo yako wapi...yaliyosemwa na wapinzani wenzie leo (rejea hotuba ya kambi rasmi ya upinzani bungeni leo kama hujaisoma usome kipengele kinachomhusu mhando) ni kielelezo tosha kuwa huyu bwana ni mamluki ndani ya upinzani...tunaomjua toka DARUSO akigeuka wenzie kwenye mipango na kuvujisha siri hatushangai...yawezekana humjui kaa kimya au kama umetumwa atavuliwa nguo hapa kwa kuanikwa hata ambayo watu hatupendi kuyaanika hadharani..Tulimpenda ila tamaa imempenda zaidi hatuna imani naye tena.
Huna lolote roho mbaya tuu na chuki binafsi,huwaoni waloiba EPA na Richmond umemuona Zitto tuu? Kumbe Zitto mwanamme anakulaza machoeee nabaado wala kura yako haiitaji wewe zidi kumpaka matope lakini ujue
Humuaribii na kumbuka nia safi hairogwi loooooo ushindwe na ulegee Kama bamia lakuchemsha.....
Mkuu usitanue hoja jikite kwenye hoja iliyopo mkononi zito ni fisadi la kutupwaMkimaliza udaku tuongee fact. Vipi kuhusu Richmond, dowans?
Binafsi simuoni mwanasiasa anayeweza kuisambaratisha Chadema kwa yeye kutoka au kufukuzwa.
Sijaona hoja hapa zaidi ya rumors. mbona huleti fact? nimetaja kesi zinazo julikana na zilizo mahakamani ili wasio jua maana ya fact waelewe. Sio kuropoka tu.Mkuu usitanue hoja jikite kwenye hoja iliyopo mkononi zito ni fisadi la kutupwa
....and this might be Zitto Zubeir Kabwe. Vipi kuhusu kumtetea mhando ?? jibu walau hilo moja...Kama wewe ni mtu safi unaweza kumtetea mtu mchafu kiasi hiki??kukosa kiwango fulani cha uelewa ni kitu kibaya sana. sijui nchi hi9i itaponaje ikiwa rumors tena toka kwa magamba zinaweza kutuyumbisha kiasi hiki katika msimamo. Hii propaganda mbichi kabisa, inakuja bila ushahidi na mnaikkubali? Ingekua Zitto ni fisadi na anapenda pesa kwanini asipokei rushwa ambayo ni halali? kwanini apiganishe kuinagusha serikali ya magamba tena kwa njia ya kidemokrasia? Take even a minute to think brother!
Mkuu!!! zito ni janga jaribu kuconnect dot utapata picha kamiliSijaona hoja hapa zaidi ya rumors. mbona huleti fact? nimetaja kesi zinazo julikana na zilizo mahakamani ili wasio jua maana ya fact waelewe. Sio kuropoka tu.
Naona umeishiwa hija, kakojoe ulale sasa. Sisi tunaendelea na mada ya leo....and this might be Zitto Zubeir Kabwe. Vipi kuhusu kumtetea mhando ?? jibu walau hilo moja...Kama wewe ni mtu safi unaweza kumtetea mtu mchafu kiasi hiki??
Wewe ni ukilaza unakusumbua.....Nimefuatilia defence yako humu hakuna sehemu hata moja unajibu hoja. sina mda na vilaza. kakojoe ulale.Mkiishiwa hoja ndio mnakuja na sababu za kitoto kama hizo. Kama hutaki kuyaanika ungekaa kimya. Mradi umeamua kusema leta ushahidi. Sio ushabiki wa kijinga. Zitto angekua mamluki wala hungemuona anaongea na watu wa CCM sababu angekua busy kuficha acquaintances zao. Kinacho fanyika hapa ni kujaribu kugawa CDM mara mbili zababu wameona hatari ya CDM in 2015 haikwepeki. Na wewe kama hujaliona hilo basi pole sana, nakuonea huruma kwa kupokea udaku kama msichana. We need facts, not rumors.